Mbona mkuu una uchungu hivyo?
Kila business ina terms and conditions.
Ndiyo maana mtu akiridhika anafanya.
Siwezi kuendesha ratiba na mipango yangu for your opinion.
Yupo bint ana sofa hizo lakini itabidi tukujue kwanza vizuri na iwe kama ulivyosema hapa..laa so hivyo itakuwa ni tatizo endelevu kwako...
Huwa hatu gawi sisi.. .hatukopeshi na wala hatuuzi....