Fursa kilimo cha mahindi mkoa wa Ruvuma

Fursa kilimo cha mahindi mkoa wa Ruvuma

Mkuu hii ni huduma kama ilivyo huduma ya uwakili, tatizo sio sisi kukosa mtaji hapana
Kwahiyo umeona fulsa mtaipata kwa wakulima lakini kuingia shambani kulima wenyewe mpate hayo magunia 30 heka moja mkaona sio fulsa?
Mfano wa wakili na swala lenu ni vitu viwili tofauti. Kinachonishangaza Mimi ni kwamba mna mbinu ya kutengeneza ela kupitia kilimo Cha mahindi lakini badala ya kulima wenyewe mpate magunia hayo mengi mnataka kuchukua ela kupitia usimamizi. Au lengo lenu kutoa msaada?
Hamna tofauti na mtu anayewauzia odds wale wazee wa kubet Kisha anatangaza kabisa odds za uhakika.
 
Nadhani kuna sehemu bado hujaielewa huduma yetu, kwamba nilime kwa kutumia gharama zangu halafu ww nikukabidhi mavuno hapo ww utakuwa umenipa mm kazi yako ambayo kimsingi ulitakiwa ww uifanye umekosa muda au unataka matokeo mazuri zaidi. Unaenda kwa wakili unamwambia asimamie kesi yako utamwambia atumie gharama zake ili akishindwa ww usimlipe?
Wewe ndio hujaelewa. Mtu analima kwa gharama zake mwenyewe kwamaana kwanzia kwenye uandaji wa shamba, kupanda, kupalilia, n.k isipokuwa hatotoa ela ya ushauri na usimamizi mpaka atakapovuna. Kwakifupi hatotoa ela yoyote kwenu kabla ya mavuno.

Unachokitaka wewe hakuna mjinga wa kukubali. Yaani nikukabidhi ela ukanilimie jambo lisilowezekana. Linalowezekana ni kuwa katika ushauri na usimamizi tu lakini hatua kwa hatua mwenye shamba anashiriki tena ipasavyo.
Vibarua atalipa yeye wewe elekeza tu walimaje au wafanyaje, mbolea atanunua yeye mwenye shamba wewe mwelekeze tu ni ipi inafaa. Kwa kifupi hakuna pesa itakayotolea ya usimizi na ushauri kwenu mpaka kazi itakapokamilika
Au lasivyo limeni kwa pesa zenu mlipwe baada ya kufanikisha kazi hata ukiweka ongezeko la asilimia kadhaa baada ya kufikisha lengo sio mbaya
 
Wewe ndio hujaelewa. Mtu analima kwa gharama zake mwenyewe kwamaana kwanzia kwenye uandaji wa shamba, kupanda, kupalilia, n.k isipokuwa hatotoa ela ya ushauri na usimamizi mpaka atakapovuna. Kwakifupi hatotoa ela yoyote kwenu kabla ya mavuno.

Unachokitaka wewe hakuna mjinga wa kukubali. Yaani nikukabidhi ela ukanilimie jambo lisilowezekana. Linalowezekana ni kuwa katika ushauri na usimamizi tu lakini hatua kwa hatua mwenye shamba anashiriki tena ipasavyo.
Vibarua atalipa yeye wewe elekeza tu walimaje au wafanyaje, mbolea atanunua yeye mwenye shamba wewe mwelekeze tu ni ipi inafaa. Kwa kifupi hakuna pesa itakayotolea ya usimizi na ushauri kwenu mpaka kazi itakapokamilika
Au lasivyo limeni kwa pesa zenu mlipwe baada ya kufanikisha kazi hata ukiweka ongezeko la asilimia kadhaa baada ya kufikisha lengo sio mbaya
Samahani kama nimetumia lugha ambayo haijaeleweka, kiufupi Ofisi yetu inatoa huduma nyingi sana moja wapo ya huduma ni hii ya kusimamia mashamba, lakini pia ipo huduma ya kuomba ushauri tu yaani mtu anataka tumwelekeze tu kila kitu anafanya yeye, ipo pia huduma ya kuunda vikundi vya wakulima, iko huduma ya kuwaunganisha wakulima walioko kwenye vikundi na huduma ya mikopo ya pembejeo, iko pia huduma ya kuunganisha soko la pamoja kwa wakulima wa vikundi.. Huduma hizo kila moja ina gharama yake tofauti, tangazo langu lilijikita ktk kutangaza moja ya huduma tunayotoa.
 
Wewe ndio hujaelewa. Mtu analima kwa gharama zake mwenyewe kwamaana kwanzia kwenye uandaji wa shamba, kupanda, kupalilia, n.k isipokuwa hatotoa ela ya ushauri na usimamizi mpaka atakapovuna. Kwakifupi hatotoa ela yoyote kwenu kabla ya mavuno.

Unachokitaka wewe hakuna mjinga wa kukubali. Yaani nikukabidhi ela ukanilimie jambo lisilowezekana. Linalowezekana ni kuwa katika ushauri na usimamizi tu lakini hatua kwa hatua mwenye shamba anashiriki tena ipasavyo.
Vibarua atalipa yeye wewe elekeza tu walimaje au wafanyaje, mbolea atanunua yeye mwenye shamba wewe mwelekeze tu ni ipi inafaa. Kwa kifupi hakuna pesa itakayotolea ya usimizi na ushauri kwenu mpaka kazi itakapokamilika
Au lasivyo limeni kwa pesa zenu mlipwe baada ya kufanikisha kazi hata ukiweka ongezeko la asilimia kadhaa baada ya kufikisha lengo sio mbaya
Maswali yako nayajali na kuyathamini sana maana ktk maswali yako na ufafanuzi wake huenda inasaidia kujua zaidi. Karibu sana.
 
Yale yale,
Nyinyi mnafahamu pa kupata mashamba ya mahindi,

Nyinyi mna utaalamu wa kulima Mahindi mpaka mtu apate gunia 30,

Sasa si mlime tu wenyewe mpate hayo magunia 30+ kwa kila heka?
Wao wanawapendelea wengine.. wao hawana haja ya FWEZA...
 
Kwahiyo umeona fulsa mtaipata kwa wakulima lakini kuingia shambani kulima wenyewe mpate hayo magunia 30 heka moja mkaona sio fulsa?
Mfano wa wakili na swala lenu ni vitu viwili tofauti. Kinachonishangaza Mimi ni kwamba mna mbinu ya kutengeneza ela kupitia kilimo Cha mahindi lakini badala ya kulima wenyewe mpate magunia hayo mengi mnataka kuchukua ela kupitia usimamizi. Au lengo lenu kutoa msaada?
Hamna tofauti na mtu anayewauzia odds wale wazee wa kubet Kisha anatangaza kabisa odds za uhakika.
Mkuu sisi tumesomea kilimo, kuna watu hawajasomea kilimo ila wanalima na hawafanikiwi. Hivi ni kosa nikienda kuwapelekea elimu ya nini wafanye ili wao wafanikiwe kwenye kilimo chao na mm nipate ujira wa hiyo kazi? Kwa nn unalazimisha nikalime? Hivi hujui kuna watu wanafanya upembezi mbalimbali mfano wa masuala ya viwanda halafu unatumiwa na wanaomiliki au wanaoanzisha viwanda ili hali wao hawamiliki viwanda? Je utawakataa watu hao na maarifa yao huku ukitaka na wao wakaanzishe viwanda? Ktk mnyororo wa thamani wa kilimo wanaingia pia watoa huduma mbalimbali ndio sisi. Ebu fanya kuulizia maana ya hizi huduma watakuambia. Kuna mtu ni mfanyakazi muda wote yupo ofisini hana muda wa kusimamia hizi kazi na anataka kulima anakabidhi kazi kwetu tunazifanya hapo hapo mashambani kwake na sio lazima hela ya mbolea, mbegu, madawa atupe sisi anaweza kubaki nazo yeye mwenyewe.
 
Mkuu sisi tumesomea kilimo, kuna watu hawajasomea kilimo ila wanalima na hawafanikiwi. Hivi ni kosa nikienda kuwapelekea elimu ya nini wafanye ili wao wafanikiwe kwenye kilimo chao na mm nipate ujira wa hiyo kazi? Kwa nn unalazimisha nikalime? Hivi hujui kuna watu wanafanya upembezi mbalimbali mfano wa masuala ya viwanda halafu unatumiwa na wanaomiliki au wanaoanzisha viwanda ili hali wao hawamiliki viwanda? Je utawakataa watu hao na maarifa yao huku ukitaka na wao wakaanzishe viwanda? Ktk mnyororo wa thamani wa kilimo wanaingia pia watoa huduma mbalimbali ndio sisi. Ebu fanya kuulizia maana ya hizi huduma watakuambia. Kuna mtu ni mfanyakazi muda wote yupo ofisini hana muda wa kusimamia hizi kazi na anataka kulima anakabidhi kazi kwetu tunazifanya hapo hapo mashambani kwake na sio lazima hela ya mbolea, mbegu, madawa atupe sisi anaweza kubaki nazo yeye mwenyewe.
Ungesema tangu mwanzo kuwa mnatoa ushauri wa kilimo, ungeeleweka zaidi.
 
Mkuu uzi wako ni mzuri kwa wenye interest na kilimo. Hebu sasa tuwekee hapa angalau gharama za kulima hekari moja na ikatoa mavuno hayo ya gunia 30. Ili mtu afanye hesabu kujua kama atapata faida au la!
Kuna wengine wamekata tamaa ya kulima sababu akija kupiga hesabu ya mavuno na gharama alizotumia kulima na kutunza shamba, anaona ni bora angeacha anunue tu mazao sokoni!
 
Huo muda wa kulimia watu kwa pesa zao si wangekodisha mashamba wakalima kwa ajili yao.
Ukija ofisini kwetu unaweza kujua undani wa shughuli zetu, maana naona wengi mnasema tu kwa nini tusiende kulima ss wenyewe. Wanaozielewa kazi zetu wengi wanakuja na tunafanya nao kazi, na tuna huduma nyingi sana hii ya kusimamia mashamba, iko huduma ya kuunda vikundi vya wakulima na kuwaunganisha na mikopo ya pembejeo, iko huduma ya masoko nk.
 
Mkuu uzi wako ni mzuri kwa wenye interest na kilimo. Hebu sasa tuwekee hapa angalau gharama za kulima hekari moja na ikatoa mavuno hayo ya gunia 30. Ili mtu afanye hesabu kujua kama atapata faida au la!
Kuna wengine wamekata tamaa ya kulima sababu akija kupiga hesabu ya mavuno na gharama alizotumia kulima na kutunza shamba, anaona ni bora angeacha anunue tu mazao sokoni!
Asante kama umeelewa sehemu ya huduma zetu, nakutumia jedwari la gharama ya uzalishaji
 
Nalisubiri kwa hamu!
Hii ndio Mbegu tunayotumia kutoa mavuno ya uhakika, ni seedco chapa tembo
IMG_20200710_175047.jpg
 
Back
Top Bottom