Nitaamini hili endapo utakili hapa kwenye uzi ya kwamba malipo yote yatalipwa baada ya shamba kuvunwa. ili ukishindwa kufikisha gunia 30 kwa hekari basi haupaswi kulipwa kiasi chote mlichokubaliana.
2. Umesema gharama nafuu, embu weka hapa hiyo gharama ili tuone unafuu wake
3. Nitaamini hili endapo vifaa, malighafi na vitu vingine vyote mfano mbolea na madawa atanunua mwenyewe mteja (muhusika wa shamba) pasipo kuwakabidhi ela kwa namna yoyote ile. Na wakati wa kuweka hivyo vitu shambani, mteja mwenyewe (muhusika wa shamba anakuwepo)