Fursa hii inaniweka roho juu.

Fursa hii inaniweka roho juu.

ankol

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
2,628
Reaction score
4,970
Habari wadau.
Mikononi mwangu nina pisi nne za vitabu vya tiketi kati ya Yanga na Al Alhly ambavyo nimenunua kwa shilingi 1,400,000.
Vina jumla ya ticket 50 kila kimoja tiketi ya shilingi 7,000.
Kila nikiviangalia mapigo ya moyo yananidunda ni kweli nitafanikiwa kuziuza ticket hizi hapo kesho ama la.
Nilishawishika kutoka kwa rafiki yangu kuhusu biashara hii siku nyingi tu Sasa leo asubuhi na mapema nikafanikiwa kuzinunua hizi ticket.
Makusudio yangu ni kuuza kila ticket kwa sh 10,000 ambapo nikifanikiwa kuuza zote nitapata 2,000,000.
 
Tupia tangazo na contacts mkuu, ticket 50 kitu gani? Unaweza maliza kabla ya saa 6 mchana
 
kudaadeki..ulanguzi from grassroot to top level...aargh..acha wabunge wajiongezee posho tu.....
 
Nasikia kuna tiketi feki zipo sokoni,watu muwe waangalifu msipigwe changa.
 
Angalia mzee zisiwe zile za posta ya zamani, ila kama ni genuine umelamba dume la msingi ni uende mapema taifa.hongera sana bro
 
Back
Top Bottom