Furahiiday night live

Furahiiday night live

Wengine hatuna tv...

Weka picha, hasa ya hilo ziwa linalotaka kuanguka...

Ukiwekewa picha ya hilo ziwa utapata faida gani?
Usipende kuzoea kula ugali kwa picha ya samaki!!!
 
masai dada

Hahahah hujatulia wewe hata sumniiiii... Kah
 
Last edited by a moderator:
masai dada

Weka picha bana, wengine tupo kijijini huku; hakuna TV!.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Huyo ndo maasai dada banaa kuamsha hisia ujenge mnara wa hewa ndo kazi alijaaliwa
 
Mmh we mwanamke mi sikuelewi! Umekuwa ukitamani wadada...hahaha!
 
Huyo ndo maasai dada banaa kuamsha hisia ujenge mnara wa hewa ndo kazi alijaaliwa

mimi naongea ninachokitazama mkuu

hahahah yaani kama una kutu
usiwashe EATV muda huu maana ni zaidi ya club
 
Mmh we mwanamke mi sikuelewi! Umekuwa ukitamani wadada...hahaha!

tengua kauli

hapana naona aibu mimi na hapa natazama mwenyewe yaani imagne mkiwa wawili si aibu
 
Back
Top Bottom