Furahi kidogoo

Furahi kidogoo

Dejane

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
51,001
Reaction score
72,284
Maisha ya kibongo bwana! Tofauti ya Mtoto wa geti na wa kiswazi ni hii hapa:
Mtoto wa geti akijikwaa utamsikia akisema "ooh! My God/ Jesus Christ". Mtoto wa uswazi kama wewe ukijikwaa utasikia aah "kumamake sijuwi ------ gani ananisema au ndio nisharogwaa tayarii""""
 
uswazi noumer, huko kishuani nasikia mtu anapewa adhabu ya kula paja la kuku mpaka alimalize.
 
Haa haa haaaa .... Umegusa mule mule best! Tena wengine wanalitukana hadi jiwe
 
Back
Top Bottom