Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,001
- 72,284
Maisha ya kibongo bwana! Tofauti ya Mtoto wa geti na wa kiswazi ni hii hapa:
Mtoto wa geti akijikwaa utamsikia akisema "ooh! My God/ Jesus Christ". Mtoto wa uswazi kama wewe ukijikwaa utasikia aah "kumamake sijuwi ------ gani ananisema au ndio nisharogwaa tayarii""""
Mtoto wa geti akijikwaa utamsikia akisema "ooh! My God/ Jesus Christ". Mtoto wa uswazi kama wewe ukijikwaa utasikia aah "kumamake sijuwi ------ gani ananisema au ndio nisharogwaa tayarii""""