Furaha ya wanayanga ni kumuudhi Simba!

Furaha ya wanayanga ni kumuudhi Simba!

Utopolo kazi mnayo, badala muangalie mipango yenu ya mbele kimataifa,mko buzzy kumkera simba, ndio maana simba alivyo acha kufanya vizuri kimataifa na ubora wetu kimataifa km nchi umeshuka, huku utopolo ikijifanya iko.vizuri inashindwa kuipandisha nchi, Lol
 
Mmeshapata chaka la kujificha..mlidhani mnacheza na Namungo..Utopolo kimataifa bado sana
 
Kwahiyo objective na mission ya Yanga ni kuiudhi Simba na siyo kutwaa makombe yenye hadhi ya kimataifa kama CAF champions league? Kama ni hivyo basi tegemea maumivu
 
Back
Top Bottom