Furaha ya maisha ipo nje au ndani ya ndoa?

Ni wewe mwenyewe na ujipime kwenye kila kitu
Maana kila kitu kina kiasi na ukizidisha ni kero
Unataka kupata nini katika ndoa
Na anayelalamika kuhusu ndo aana yake aliyoyatamani ambayo kwake anaona hajatimiza na ambaye anafurahia ujana nae ana yake ambayo bado anaendelea nayo nayo yanampa furaha
Jipime kwa kila kitu kama uko tayari kuingia kwenye ndoa ingia kama hauko tayari na unaona maisha ya kuwa single ni mazuri endelea nayo mpaka muda wako
Usilazimishe chochote au usifuate mkumbo

mkuu umenena vema sana, hapa nilipo ninafuraha sana maishani mwangu nje ya ndoa, naogopa nikioa naweza kuipoteza hii furaha.
 
mkuu umenena vema sana, hapa nilipo ninafuraha sana maishani mwangu nje ya ndoa, naogopa nikioa naweza kuipoteza hii furaha.

Mkuu kabla ya kujipongeza kuwa nje ya ndoa na furaha yako ungepata na upande wa pili wa wale ambao wako ndani ya ndoa nao wanasemaje
Nina furaha ya kuwa ndani ya ndoa yangu na naipenda sana familia oyangu na najuta kwa nini sikuingia mapema katika hilo
Mkuu ukimpata yule ambaye atakupa furaha maishani mwako naamini utakuja hapa kutuambia namna ulivyo na furaha kuwa ndani ya ndoa
Karibu sana ukiwa tayari mkuu
 
My fav quote:
Marriage life is like ordering food in a restaurant. Unatoka home umeplan kabisaa ntakula samaki. Ukiagiza, na mwenzio anaagiza mishkaki na chips, afu unaanza kutamani mshkaki!
If u ar smart enough u just realise how lucky u ar to have a plate of ubwabwa before u, right?
 
Uzuri ni kwamba maisha ya ujana yana raha yake sana ukiwa bachelor uko free kwenda kokote unakotaka na kufanya yale yaupendezayo moyo wako kwa wakati huo
vile vile maisha ya ndoa yana raha zake sana tena nyingi sana kwa wale walio kwenye ndoa wanajua hilo
So kijana jipange muda ukifika jitose pia uachane na maisha ya kuwa bachelor kiota popote
 
Mkuu kabla ya kujipongeza kuwa nje ya ndoa na furaha yako ungepata na upande wa pili wa wale ambao wako ndani ya ndoa nao wanasemaje
Nina furaha ya kuwa ndani ya ndoa yangu na naipenda sana familia oyangu na najuta kwa nini sikuingia mapema katika hilo
Mkuu ukimpata yule ambaye atakupa furaha maishani mwako naamini utakuja hapa kutuambia namna ulivyo na furaha kuwa ndani ya ndoa
Karibu sana ukiwa tayari mkuu

mkubwa labda ndoa yako ni moja ya zile za chini ya mwaka 2000, angalia wengi waliofunga ndoa baada ya 2000 ni vituko na majuto kwenda mbele. Mkuu nisaidie hili, ukiangalia ndugu/rafiki zako waliooa/olewa wengi wanafuraha au huzuni ktk ndoa zao?
 
kwangu mie furaha ya maisha haipo ndani wala nje ya ndoa....bali mojawapo ya furaha ya maisha ni kuwa na yule umpendae.....akuoe mapenzi, umpe mapenzo iwe ndoani au la.....
 
kote kuna raha yake ili mradi umpate yule munaendana kwa kila kitu na kuelewana kwa kila sehemu hapo mtaenjoy sana na hutaona tofauti ya aliye ktk ndoa au nje ya ndoa

Furaha ya maisha iko kote tu mradi unajua unataka kitu gani katika maisha yako. Kupanga ni kuchagua.

 
Last edited by a moderator:
Furaha ya maisha ipo ndani yako. (within your inner-self).

If you are not in peace with your own-self how can you be in peace with your fellow creatures?

And without peace (salaam), there is no felicity (furaha).

Ukiona huna furaha ukiwa na mwenzako au wenzako basi ujuwe hana furaha hata ya peke yako.
 
Hi wana Jf, naomba tujadili kuhusu maisha ya ndani au nje ya ndoa ni yapi yanafuraha zaidi? Sasa hivi ukikaa na wana ndoa hawaishi kulalamika juu ya ndoa zao, vile vile wasio na ndoa wanatamani sana kuingia ktk ndoa, hapo ndipo ninapoachwa njia panda. Furaha ya maisha ipo wapi? Ndani au nje ya ndoa?

inategemea ndoa yako ikoje..ndoa zingine ni mateso matupu...bora ukiwa single huna wa kukuhangaisha
 
Back
Top Bottom