Moneyowner
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 1,423
- 1,251
du mi nasema hapana, pesa sio faraja pekee hapa duniani familia na kuishi na watu vizuri ni faraja pia.furaha ni pesa tu hakuna kingine.
du mi nasema hapana, pesa sio faraja pekee hapa duniani familia na kuishi na watu vizuri ni faraja pia.furaha ni pesa tu hakuna kingine.
Kila MTU na mtazamo wake.du mi nasema hapana, pesa sio faraja pekee hapa duniani familia na kuishi na watu vizuri ni faraja pia.
wewe si jike lakini?
Mwanamkewewe si jike lakini?
haha, sasa mi nikiitwa dume ntakataa nijiite mwanaume?Mwanamke
Ukisema dume imekaa vizuri kuliko jike!!!haha, sasa mi nikiitwa dume ntakataa nijiite mwanaume?
hahahaa!Ukisema dume imekaa vizuri kuliko jike!!!
Yaani nimesoma jike tu nikafikiria kuku!!!
Hawafikii ukatili wa ccm kwa wa tz. Samahani lakini kumbe na huku upo!Watoto wanaonekana wana afya nzuri, ni furaha kwa wazazi ila unaweza kuta wewe mzazi mwanaume unalea mtoto wa mwenzako hapo, wanawake wengine ni makatili sana aisee.
Pesa bila mtoto?furaha ni pesa tu hakuna kingine.
jibu lipo hapo juu na Mr wenu, kila mtu na mtizamo wake...Pesa bila mtoto?
Kwa mzazi furaha ya kwanza ni mtito bwana
ukifika mitaa flani ya nchi yetu, unakuta kila badhi ya nyumba kuna mazezeta, utakuta wadada wengine wantupa watoto baada ya kuwazaa, je pesa au watoto?Kweli kabisa
Ama kweli tunatofautiana mitazamo
Ndio maana wengine wanatoa kafara watoto zao ili wajenge majumba na kudrive mandinga makali
Bahati nzuri hawa unaowaita makatili ndo wanakupeleka chooni unakunya kwa raha zako!Hawafikii ukatili wa ccm kwa wa tz. Samahani lakini kumbe na huku upo!
Acha kuwadharirisha wazazi wako dogofuraha ni pesa tu hakuna kingine.
Nilijua tu kuwa majibu ya mbweha wa ccm lazima yawe mabaya tuBahati nzuri hawa unaowaita makatili ndo wanakupeleka chooni unakunya kwa raha zako!
Jibu lime-reflect swali!Nilijua tu kuwa majibu ya mbweha wa ccm lazima yawe mabaya tu