Furaha ya kila mzazi

mfilisti

JF-Expert Member
Sep 24, 2015
3,641
19,271
C-Elan9XoAAIwfp.jpg
C-PqCkHW0AAD7A_.jpg
C-QLA6uV0AALRQx.jpg
7176e76906306e200ceb160ce14613c6.jpg
0358d66bc2e0da6a85dbb5ef659aa83c.jpg
265261f308466b12d52a6b6289e0c2f3.jpg
 
Well said Mkuu! Na picha kama hivi huwashawishi sisi vijana bachelor tutafute mabinti wa kuoa ili kujenga familia bora na sio bora familia LAKINI maumivu ya kichwa huanza pale unampompenda binti mrembo kabisa wa 20s years lakini anakupiga kwenzi kichwani kwamba bado anaendelea kuchagua......halafu akifika 30s years anaanza kukesha kwenye maombi Mungu ampe yeyote mwenye nia ya kumuoa

Nyie wadada wazuri tuhurumieni jamani waoaji, mtupe nafasi na sisi tufyatue watoto wazuri kama hao.....UZURI WENU UNA MWISHO MJUE....shauri zenu!
 
Well said Mkuu! Na picha kama hivi huwashawishi sisi vijana bachelor tutafute mabinti wa kuoa ili kujenga familia bora na sio bora familia LAKINI maumivu ya kichwa huanza pale unampompenda binti mrembo kabisa wa 20s years lakini anakupiga kwenzi kichwani kwamba bado anaendelea kuchagua......halafu akifika 30s years anaanza kukesha kwenye maombi Mungu ampe yeyote mwenye nia ya kumuoa

Nyie wadada wazuri tuhurumieni jamani waoaji, mtupe nafasi na sisi tufyatue watoto wazuri kama hao.....UZURI WENU UNA MWISHO MJUE....shauri zenu!
 
Well said Mkuu! Na picha kama hivi huwashawishi sisi vijana bachelor tutafute mabinti wa kuoa ili kujenga familia bora na sio bora familia LAKINI maumivu ya kichwa huanza pale unampompenda binti mrembo kabisa wa 20s years lakini anakupiga kwenzi kichwani kwamba bado anaendelea kuchagua......halafu akifika 30s years anaanza kukesha kwenye maombi Mungu ampe yeyote mwenye nia ya kumuoa

Nyie wadada wazuri tuhurumieni jamani waoaji, mtupe nafasi na sisi tufyatue watoto wazuri kama hao.....UZURI WENU UNA MWISHO MJUE....shauri zenu!
 
Well said Mkuu! Na picha kama hivi huwashawishi sisi vijana bachelor tutafute mabinti wa kuoa ili kujenga familia bora na sio bora familia LAKINI maumivu ya kichwa huanza pale unampompenda binti mrembo kabisa wa 20s years lakini anakupiga kwenzi kichwani kwamba bado anaendelea kuchagua......halafu akifika 30s years anaanza kukesha kwenye maombi Mungu ampe yeyote mwenye nia ya kumuoa

Nyie wadada wazuri tuhurumieni jamani waoaji, mtupe nafasi na sisi tufyatue watoto wazuri kama hao.....UZURI WENU UNA MWISHO MJUE....shauri zenu!
Uko sahihi mkuu
 
Well said Mkuu! Na picha kama hivi huwashawishi sisi vijana bachelor tutafute mabinti wa kuoa ili kujenga familia bora na sio bora familia LAKINI maumivu ya kichwa huanza pale unampompenda binti mrembo kabisa wa 20s years lakini anakupiga kwenzi kichwani kwamba bado anaendelea kuchagua......halafu akifika 30s years anaanza kukesha kwenye maombi Mungu ampe yeyote mwenye nia ya kumuoa

Nyie wadada wazuri tuhurumieni jamani waoaji, mtupe nafasi na sisi tufyatue watoto wazuri kama hao.....UZURI WENU UNA MWISHO MJUE....shauri zenu!
Watoto wanaonekana wana afya nzuri, ni furaha kwa wazazi ila unaweza kuta wewe mzazi mwanaume unalea mtoto wa mwenzako hapo, wanawake wengine ni makatili sana aisee.
 
Back
Top Bottom