Fununu na Tetesi

MankaM

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
9,448
3,051
Wakuu nahitaji kujuzwa maana ya haya maneno na tofauti zake tafadhari bila shaka hapa ndio mahali penyewe hususani katika kujifunza lugha
 
Ni kitu kilekile maana yake ni moja kuwa ni kitu ambacho hakijathibitishwa japo fununu huendana na usiri fulani wakati tetesi ni jambo la wazi
 
Back
Top Bottom