Fununu Fununu za Freeman Mbowe kuwa PM

Fununu Fununu za Freeman Mbowe kuwa PM

JosephNyaga

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2014
Posts
291
Reaction score
232
Wadau kuna intel nimeipata muda sio mrefu mpaka nimeshtuka hapa sina raha kabisa.

Kwamba JPM anatarajia kuwasilisha jina la Freeman Mbowe kwa katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefua likiwa ndio jina pendekezwa la WAZIRI MKUU mtarajiwa hii ikiwa ni katika ule mchakato wa kuitisha bunge la jamuhuri ya muungano la November 17.

Hii sasa mbona ni zaidi ya HAPA KAZI TU. Huyu tinga tinga atatuuwa kwa presha sasa.
 
hawezi kuteua mtu wa ukawa bila kufanya muafaka. kumbuka Mbowe hatambui na alitangaza watu wasusie kuapishwa kwa Magufuli leo.

Pia tarehe 19 ni mbali mno kuweka jina kwenye bahasha leo.
 
Inaonekana aliyekwambia hata hajui utaratibu wa kumpata PM ukoje
 
Katiba hairuhusu, fanya utafiti acha kusumbua watu kwa threads zisizo na mashiko
 
unapima upepo au? magufuli hana hilo wazo achilia mbali katiba haiendani na hyo hoja yko
 
Umechemka. Waziri mkuu anatokana na chama chenye wabunge wengi. Ccm ndio chama chenye wabunge wengi!
 
hawezi kuteua mtu wa ukawa bila kufanya muafaka. kumbuka Mbowe hatambui na alitangaza watu wasusie kuapishwa kwa Magufuli leo.

Pia tarehe 19 ni mbali mno kuweka jina kwenye bahasha leo.
Katiba ipo wazi hilo ni jambo amblo haliwezekani.
 
Tunge taka Mbowe awe Pm tungemchagua mamvi awe Raisi!
Labda awe pm kivuli!!!!!
 
Back
Top Bottom