skfull
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 2,944
- 2,385
Kweli nimeamini walioko ukawa wengi hawaeliwi chochote eti mbowe pm kwa wabunge wepi?
JARIBU kumsoma MTU umuelewe inamaana hujajua mtoa mada ni Ccm anataka kujua tutapokeaje bangi zake
Kweli nimeamini walioko ukawa wengi hawaeliwi chochote eti mbowe pm kwa wabunge wepi?
Wadau kuna intel nimeipata muda sio mrefu mpaka nimeshtuka hapa sina raha kabisa. Kwamba JPM anatarajia kuwasilisha jina la Freeman Mbowe kwa katibu mkuu kiongozi Ombeni Sefua likiwa ndio jina pendekezwa la WAZIRI MKUU mtarajiwa hii ikiwa ni katika ule mchakato wa kuitisha bunge la jamuhuri ya muungano la November 17. Hii sasa mbona ni zaidi ya HAPA KAZI TU. Huyu tinga tinga atatuuwa kwa presha sasa.
PM anatoka chama chenye Wabunge wengi au anayeungwa mkono na wabunge walio wengi.
Jambo haliwezekani kisiasa tu, lakini hakuna katiba yoyote inayozuia.
Unaota
Hiyo katiba ya wapi
Katiba hairuhusu, fanya utafiti acha kusumbua watu kwa threads zisizo na mashiko
Umechemka. Waziri mkuu anatokana na chama chenye wabunge wengi. Ccm ndio chama chenye wabunge wengi!