Funny video clips + Photos

Robot,

Hilo gari limeandikwa Babako analo unajua lipo wapi hapa TZ? ......menikumbusha mbali sana!
 
Nimekutana na hii youtube nimecheka hadi basi.....king'oli hapa [ame]http://www.youtube.com/watch?v=J5z4Vs26-TI[/ame]
 
Robot,

Hilo gari limeandikwa Babako analo unajua lipo wapi hapa TZ? ......menikumbusha mbali sana!


hiyo ngoma niliwahi kkukutana nayo kigoma miaka ya 91-92! huo mziki wa kazi baba, kichomi tup! yeeeeeeeeeeeeeereee! teh teh, ngoma inakwea milima ya kibondo, kakonko, bangwe, ikifika katkt ya mlima inakula pancha, hlf kkonda anaruka na bonge la gogo kutega isishuke! mweh long time sana, hivi mkoa wa kigoma bado upo? mitaa ya Bangwe, Mnanila, Kamala, Mji mwema......! dah nitaenda kutembelea nifurahii na wali wa mawese kwa mgebuka.....njanooo kama unakula mise!!!!.........nimecheka sana
 

Good! h've a nice day either!
 
Nimeisahau hii topic, will be back for it
 
jamani leo nimefurahi sana! nimecheka balaaa!
 
 
Last edited by a moderator:
hiyo ya ajali ni real mtu wangu!! mbaya kichizi yani!
 
Huyo jamaa wa rugby baada ya huo mlipuko sidhani kama macho na sura kwa ujumla vilirudi katika hali ya kawaida...Ni zaidi ya volcano!!
 
Mkuu nashindwa kufungua hiyo attachment kwa sababu ya hiyo winzip. Unaweza kusaidia?
 
Mkuu Invisible umeniacha hoi sasa huyo ni mtoto au mpira?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…