Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Ahahahahahaah kweli jamaa akawapiku
Teh loh kwa vile alipiga picha na 50 cent nini.........loh
mzee wa matukio kwa sana tu
Vipi SI yule jamaa wa modem anayecheka kifurushi cha 500 kikiisha anapotea leo umemcheki? Alafu kuna jamaa jana kaja kwa mkwara anajiita mnusaji kesha pigwa ban..........hajaonekana tena
Alafu mwana mwaka huu ninashindana na Rejao kila kitu...vipi kuhusu pua yangu si nimesha mzidi? Kufikia 2015 hadi nchi tutaipokonya kwake/kwao
kipua ha rejao ni subset tu hapo hakingii ndani..tatizo la rejao pombe ndio zinamaliza pua yake si unajua kutumia kombe lile la lager kwa hiyo pua ina under go evolution
Tatizo lenu viongozi wenu hawana mvuto. Tuna bahati sana watanzania hatukumchagua yule babu, cuz taifa lingeingia garama kubwa sana photoshop kutengeneza picha ya mkuu wa nchi!!Alafu mwana mwaka huu ninashindana na Rejao kila kitu...vipi kuhusu pua yangu si nimesha mzidi? Kufikia 2015 hadi nchi tutaipokonya kwake/kwao
Kumbe huwa mnaingia photo shop??Tatizo lenu viongozi wenu hawana mvuto. Tuna bahati sana watanzania hatukumchagua yule babu, cuz taifa lingeingia garama kubwa sana photoshop kutengeneza picha ya mkuu wa nchi!!
walah jamaa wa system lazima watazaa na huyu dogo, khaaaaaaaa!
Unaonyesha jinsi gani ulivyo mjinga unataka kusema alichagua kwa uzuri wake , unataka kusema ndiyo sababu ya kununuliwa suti na kulipiwa chumba cha kulala wageni aaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh kumbe ni kwa sababu ya uzuri wake basi aende kwa Cameroon naona hao wa wa suti hawakutoa matokeo mazuri...Tatizo lenu viongozi wenu hawana mvuto. Tuna bahati sana watanzania hatukumchagua yule babu, cuz taifa lingeingia garama kubwa sana photoshop kutengeneza picha ya mkuu wa nchi!!
Tatizo lenu viongozi wenu hawana mvuto. Tuna bahati sana watanzania hatukumchagua yule babu, cuz taifa lingeingia garama kubwa sana photoshop kutengeneza picha ya mkuu wa nchi!!
Kumbe huwa mnaingia photo shop??
Naona kimekuuma sana...but ni ukweli usiopingika yule babu hana haiba! Kwa shughuli zetu mtu kama yeye huwa ni BACK OFFICER tu cuz anaweza kutukimbizia wateja akikaa front desk!Unaonyesha jinsi gani ulivyo mjinga unataka kusema alichagua kwa uzuri wake , unataka kusema ndiyo sababu ya kununuliwa suti na kulipiwa chumba cha kulala wageni aaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh kumbe ni kwa sababu ya uzuri wake basi aende kwa Cameroon naona hao wa wa suti hawakutoa matokeo mazuri...