ha ha ha
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 638
- 84
Wakuu,
Kama mwananchi wa TZ ninawakilishwa katika nyumba ya kutunga sheria na mbunge ambae alipata kura mingi kumtosha akatuwakilishe,cha ajabu ni analala,kawa bubu,haulizi swali wala hajibu lolote,hana hata ile kunyoosha mkono!
Najuta kuwakilishwa na jamaa. Jamaa anamiliki magari ya dar-moro yana rangi nyekundu.Ata kutaja jina naona uvivu..
Aya wakuu waliokula hasara kama mimi tufunguke!
Kama mwananchi wa TZ ninawakilishwa katika nyumba ya kutunga sheria na mbunge ambae alipata kura mingi kumtosha akatuwakilishe,cha ajabu ni analala,kawa bubu,haulizi swali wala hajibu lolote,hana hata ile kunyoosha mkono!
Najuta kuwakilishwa na jamaa. Jamaa anamiliki magari ya dar-moro yana rangi nyekundu.Ata kutaja jina naona uvivu..
Aya wakuu waliokula hasara kama mimi tufunguke!