Duh! ... wewe Jidu .. umenisababishia kufungua macho yangu sana ..... haya huyo Snow Leopard huyu hapo chini kwenye pichaSikumbuki ni nchi gani... kuna chui amabo huwaita "Snow leopard" ni wadogo kiumbo na hawa wakwetu.ila jaribu kuangaza macho yupo sehemu amejificha kwenye hiyo milima
Nimepata picha 5
1. Chini kulia kidogo mwa huyo chui kuna jamaa kavaa mzula (kofia) kama ya Pope
2. Sehemu iliyoandikwa chui rudi kushoto kuna picha ya Bikira Maria anaangalia pembeni
3. Chini ya Bikira Maria kulia kidogo kuna kichwa chenye sharubu
4. Kushoto kwa chini kidogo nyuma ya kichwa chenye sharubu kuna kichwa cha mtu kavaa miwani kama M. Ghandh
5. Juu ya mshale wa kushoto ulipoanziia kuna sura ya mtu unaonekana uso, jicho, pua na mdomo kaangalia kulia
Niko busy ningeona vingi
aiseee pamoja na kuolodhesha yote hayo hakuna hata moja nililofanikiwa kuona
Ahahahahaaa pole sana sio wewe tu najua wengi hawatoziona