Fundisho kwa wasomi

Fundisho kwa wasomi

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,848
Kama wewe unajiita umesoma na umekosa planning ya kuendesha maisha yako vinzuri. hiyo ni dalili mojawapo ya kuelewa kwamba hauna elimu..

Ulienda shuleni kusoma ili iweje
1:Kujifurahisha moyoni mwako kwamba una elimu na kupewa sifa nyingi kwamba na wewe umesoma,?

2:Ili kupata akili yakuwenza kuyaendesha maisha yako vinzuri?.

Kama alieshia dalasa la saba ana maisha manzuri na anapesa kuliko wewe. huyo tunasema ana elimu kuliko wewe uyelirundika makaratasi ndani huku hauna chochote
cha kufanya.

kwa hiyo, nyie munaojiita mumesoma
usitengemee elimu yako ikufanyie kitu,

jiulize kwanza wewe elimu yako umeifanyia nini?
NB.
Ulipata elimu ili upate planning za kuendeshea maisha yako vinzuri.
ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA, KWA NINI USHINDWE KUYAFUNGUA.
ukishidwa kuyafungua ni dalili za kwamba hauna elimu.
 
me ni msomi wa magazeti yote ya kila siku na vitabu pia na nina maisha mazuri.
 
 
Last edited by a moderator:
Mtoa mada ni yule ndugu yetu KIPARA Aliye panga nyumba karibu sana na madanguro ya Mwananyamala. Sijui anatumiaje elimu yake mpaka anapanga karibu na danguro ?
 
Mtoa mada ni yule ndugu yetu KIPARA Aliye panga nyumba karibu sana na madanguro ya Mwananyamala. Sijui anatumiaje elimu yake mpaka anapanga karibu na danguro ?

Mkuu kwa sasa nipo mangomeni,
ulikuwa ni ungeni tu kwenda kupanga mwananyamara.KUKU MUGENI HAKOSI KAMBA MIGUUNI.
sasa mambo shwariii!!!!
 
Kama wewe unajiita umesoma na umekosa planning ya kuendesha maisha yako vinzuri. hiyo ni dalili mojawapo ya kuelewa kwamba hauna elimu..

Ulienda shuleni kusoma ili iweje
1:Kujifurahisha moyoni mwako kwamba una elimu na kupewa sifa nyingi kwamba na wewe umesoma,?

2:Ili kupata akili yakuwenza kuyaendesha maisha yako vinzuri?.

Kama alieshia dalasa la saba ana maisha manzuri na anapesa kuliko wewe. huyo tunasema ana elimu kuliko wewe uyelirundika makaratasi ndani huku hauna chochote
cha kufanya.

kwa hiyo, nyie munaojiita mumesoma
usitengemee elimu yako ikufanyie kitu,

jiulize kwanza wewe elimu yako umeifanyia nini?
NB.
Ulipata elimu ili upate planning za kuendeshea maisha yako vinzuri.
ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA, KWA NINI USHINDWE KUYAFUNGUA.
ukishidwa kuyangua ni dalili za kwamba hauna elimu.

sijajua kama wewe ulifundisha hata kiswahili ndo umeandika nini sasa.VINZURI!,KUWENZA!,MANZURI!.We kiboko!,ni mtanzania kweli wewe?
 
Mod peleka huu uzi kwenye lile jukwaa jipya la wasiojielewa

Ukiona hivi! elewa ndiye muathirika wa maada hii.

"tafuta kazi ujipange ndugu acha kuchambua matembele nyumbani huku unajiita na wewe umesoma"
 
Mimi niliishia diploma tween wangu aliendelea mpaka degree,lakini anakopa ale kwangu.ELIMU NI MAISHA....LAKINi MAISHA SIYO ELIMU
..
 
sijajua kama wewe ulifundisha hata kiswahili ndo umeandika nini sasa.VINZURI!,KUWENZA!,MANZURI!.We kiboko!,ni mtanzania kweli wewe?

Hujaelewa nini? kama ujumbe umeupata ndiyo furaha nyangu.
 
Mtoa mada ana hasira zake sijui TCU Wamemtema?

Au kachaguliwa SAUT MTWARA:what:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom