Shy land
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 6,245
- 2,848
- Thread starter
- #21
kwani kipimo cha maisha mazuri ni kipi mkuu? Daud kipara
Kipimo kikuu ni pesa,
mengine yanafatia
kama nyumba n.k
Last edited by a moderator:
kwani kipimo cha maisha mazuri ni kipi mkuu? Daud kipara
Mkuu kwa sasa nipo mangomeni,
ulikuwa ni ungeni tu kwenda kupanga mwananyamara.KUKU MUGENI HAKOSI KAMBA MIGUUNI.
sasa mambo shwariii!!!!
Kama wewe unajiita umesoma na umekosa planning ya kuendesha maisha yako vinzuri. hiyo ni dalili mojawapo ya kuelewa kwamba hauna elimu..
Ulienda shuleni kusoma ili iweje
1:Kujifurahisha moyoni mwako kwamba una elimu na kupewa sifa nyingi kwamba na wewe umesoma,?
2:Ili kupata akili yakuwenza kuyaendesha maisha yako vinzuri?.
Kama alieshia dalasa la saba ana maisha manzuri na anapesa kuliko wewe. huyo tunasema ana elimu kuliko wewe uyelirundika makaratasi ndani huku hauna chochote
cha kufanya.
kwa hiyo, nyie munaojiita mumesoma
usitengemee elimu yako ikufanyie kitu,
jiulize kwanza wewe elimu yako umeifanyia nini?
NB.
Ulipata elimu ili upate planning za kuendeshea maisha yako vinzuri.
ELIMU NI UFUNGUO WA MAISHA, KWA NINI USHINDWE KUYAFUNGUA.
ukishidwa kuyafungua ni dalili za kwamba hauna elimu.
Hivi bado unafanya kazi ya kufungua mageti name elimu yako ndio maana una machungu name kudiscourage wenzio
Kufungua mageti nayo ni kazi pia!
na ile thread nilitumia njia kwa ajili yakufikisha kilio cha wakulima kwa jamii.
ila kwa kuwa ulisoma katika mfumo wa kukariri ndiyo maana unakuwa na akili mgando kiasi hiki
Umevurugwa na maisha tu huna lolote
Maisha yamenivuraga! hehehehe! pole sana.
hafu unaonekana ni felia ya form four! lakini watu wenye elimu zao wanajua mimi nawapa somo, wanafunzi ambao wako chuoni wasibweteke na elimu yao pindi wakimalinza masomo.
lakin kwa kuwa wewe akili yako haina akili umeendelea kukomenti ufelia wako hapa