Fundisho kwa wasomi

Fundisho kwa wasomi

Ww mawazo yko na hoja vyote kwa pamoja mgando...tafuta cha kuyeyushia hlo danguro naona lilikulaani ndo mana huwez fikiria nje ya box..
Bdo kinda sn unahitaj akili za kushikiliwa kw manati
 
Ww mawazo yko na hoja vyote kwa pamoja mgando...tafuta cha kuyeyushia hlo danguro naona lilikulaani ndo mana huwez fikiria nje ya box..
Bdo kinda sn unahitaj akili za kushikiliwa kw manati

Muathirika wa maada.
nakusihi ndgu yangu acha kuchambua matembele na mama yako kucha kutwa. huku unajiita eti na wewe umesoma

fumbua macho, acha kuleweka na sifa za kwamba umesoma.
wewe kwangu ni pimbi tu, vyoooooo!!!!
 
Muathirika wa maada.
nakusihi ndgu yangu acha kuchambua matembele na mama yako kucha kutwa. huku unajiita eti na wewe umesoma

fumbua macho, acha kuleweka na sifa za kwamba umesoma.
wewe kwangu ni pimbi tu, vyoooooo!!!!

Education is all about passing knowledge from one person to another person.


Hii ni definition rahisi kwa mwanafunzi wa form II.
 
Huu uzi mbona umekaa kimipasho sana, mtoa mada anaonekana kama amegombana na mtu msomi asubuhi hii.
 
Huu uzi mbona umekaa kimipasho sana, mtoa mada anaonekana kama amegombana na mtu msomi asubuhi hii.

Hapana sijangombana na mtu yeyote lakini wapo wengi sana mtaani wanaojifanya eti wamesoma, huku kila siku wamekuwa tengemenzi kwa jamii, badala ya wanajamii kuwatengemea wao.
 
Ila umeongea ukwel kama umesoma kwann wakuzidi maisha wasio soma?
 
Kipara upo sahihi sana na wanaokuponda hawajaelimika...mtu ana MBA na bado mwaka watatu na ushee hajajiajiri na anatafuta ajira magazetini na akiitwa kwenye usiali anapiga chini sasa hapo elimu ni ukombozi kweli?
 
Kipara upo sahihi sana na wanaokuponda hawajaelimika...mtu ana MBA na bado mwaka watatu na ushee hajajiajiri na anatafuta ajira magazetini na akiitwa kwenye usiali anapiga chini sasa hapo elimu ni ukombozi kweli?

Ni kweli mkuu, unajua hakuna kitu kinachouma kama ukweli,
mtu ukimwambia ukweli , kwa mfano wewe unanuka mdomo tena kwenye watu wengi, lazima ataumia. na kuanza kukuponda.
 
Umeongea ukweli ila punguza jazba kwa wanaotofautiana nawe!
 
Malumbano ya nini? Kumaliza ugomvi tutafute kujua elimu maana yake nini au aliyeelimika ana sifa gani?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom