Fundi wa nguo wa Mh. Rais anastahili pongezi

Huenda kuna Bullet proove ndani,si unajua tena hao jamaa ,ila mikono sasa
 
Hapa machozi yananitoka...dahπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨πŸ’¨
 
Kama Gwajima alisema ame editiwa na sie tukaamini kwanini nisiamini na Picha hii ya Rais 2016 akiwa Kibaha pia ime editiwa

Kuna kundi ovu kazi yao ni ku editi Wasukuma tuuu


Hahahahah
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…