Mulangila Mukuru
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 1,945
- 724
wakuu naombeni msaada km kuna fundi au msaada wa kitaalam kuhusu modem yangu aina ya Huawei E 1550 nikiiconect kwenye PC haionekani kwenye my computer japo inawasha taa ya kuwa na power nimeunistall softwere yake nione km intainstall upya imekataa,pia nimejaribu kutumia computer nyingine tatizo ni lile lile
Tatadhari kwa anayeweza kunisaidia kuirekebisha ifanye kazi naomba msaaada plz
Tatadhari kwa anayeweza kunisaidia kuirekebisha ifanye kazi naomba msaaada plz