Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,271
- 1,119
Wadau nawasalimu
Kwa mwenye kumjua Fundi wa simu makini na mwaminifu anipe mawasiliano yake. Simu yangu aina ya Sony Xperia Z Ultra imepasuka kioo. Kama kuna mwenye ufahamu naomba anijibu kwa namba 0717935721. Napatikana Dar es Salaam hivyo natarajia Fundi atapatikana ndani ya Jiji hilihili. Asanteni
Kwa mwenye kumjua Fundi wa simu makini na mwaminifu anipe mawasiliano yake. Simu yangu aina ya Sony Xperia Z Ultra imepasuka kioo. Kama kuna mwenye ufahamu naomba anijibu kwa namba 0717935721. Napatikana Dar es Salaam hivyo natarajia Fundi atapatikana ndani ya Jiji hilihili. Asanteni