Fundi wa Blandering

Fundi wa Blandering

Ramthods

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
515
Reaction score
187
Wadau,

Natanguliza shukrani.

Naomba recommendation ya fundi wa Ceiling Joist a.k.a Blandering (Not sure ndio linavyoandikwa)

Kama ulipenda kazi yake, ntashukuru kwa recommendation.

Ahsante.

Ram

UPDATE: Nipo Dar
 
Mpigie huyu 0712524242 japo sijui wewe u wapi kama ni Dar or Moro
 
Wadau,

Natanguliza shukrani.

Naomba recommendation ya fundi wa Ceiling Joist a.k.a Blandering (Not sure ndio linavyoandikwa)

Kama ulipenda kazi yake, ntashukuru kwa recommendation.

Ahsante.

Ram

Uko wapi mkuu? Kuna Fundi nilimtoa Arusha kuja kunifanyia hiyo kazi Dar, alipomaliza tu akadakwa na jamaa wa Ubungo na baadaye Kigamboni. Kazi yake no nzuri, amemaliza juzi na leo amerudi Arusha.

Kama uko Dar jamaa atakufaa sana, kwanza ni mwaminifu, pili anaweka kambi site na anakuwa busy na kazi throughout mpaka amalize. Anapiga blandaring na kuweka ceiling/gypsum board.
 
Uko wapi mkuu? Kuna Fundi nilimtoa Arusha kuja kunifanyia hiyo kazi Dar, alipomaliza tu akadakwa na jamaa wa Ubungo na baadaye Kigamboni. Kazi yake no nzuri, amemaliza juzi na leo amerudi Arusha.

Kama uko Dar jamaa atakufaa sana, kwanza ni mwaminifu, pili anaweka kambi site na anakuwa busy na kazi throughout mpaka amalize. Anapiga blandaring na kuweka ceiling/gypsum board.

Nipo Dar kaka
 
Nawafollow...nilikuwa natafuta mtu wa blandering na gypsum, niliyempata ananiyeyusha nishampigia simu mara kibao,,mara nipo Arusha, mara Morogoro..nimechoka kumsubiri.
 
Uko wapi mkuu? Kuna Fundi nilimtoa Arusha kuja kunifanyia hiyo kazi Dar, alipomaliza tu akadakwa na jamaa wa Ubungo na baadaye Kigamboni. Kazi yake no nzuri, amemaliza juzi na leo amerudi Arusha.

Kama uko Dar jamaa atakufaa sana, kwanza ni mwaminifu, pili anaweka kambi site na anakuwa busy na kazi throughout mpaka amalize. Anapiga blandaring na kuweka ceiling/gypsum board.

Nami namtaka huyu, ni nini gharama zake? bainisha humu mkubwa. nipo Dar
 
Uko wapi mkuu? Kuna Fundi nilimtoa Arusha kuja kunifanyia hiyo kazi Dar, alipomaliza tu akadakwa na jamaa wa Ubungo na baadaye Kigamboni. Kazi yake no nzuri, amemaliza juzi na leo amerudi Arusha.

Kama uko Dar jamaa atakufaa sana, kwanza ni mwaminifu, pili anaweka kambi site na anakuwa busy na kazi throughout mpaka amalize. Anapiga blandaring na kuweka ceiling/gypsum board.

Habari za leo, je unaweza nipatia contact za huyu fundi?

Natanguliza shukran zangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom