-Fundi umeme anahitajika kwa ajiri ya kufanya kazi ya hudumia mitambo ya umeme katika kiwanda cha kufyatua matofali Dar es salaam.
-Awe na elimu ya ufundi umeme kutoka vyuo vinavyo tambuliwa kisheria kuanzia veta na kuendelea
-Akiwa na elimu ya electronics kama ziada ni bora zaidi
-kazi ni full time
-Umri usizidi miaka 35
-mshahara ni 520000 take home.
-Anahitajika haraka sana aliyekuwepo amepata dharula,na mashine zinahitaji marekebisho
Tuma maombi yako kwenda kwenda btobstar@yahoo.com
mwisho kesho!.
-Awe na elimu ya ufundi umeme kutoka vyuo vinavyo tambuliwa kisheria kuanzia veta na kuendelea
-Akiwa na elimu ya electronics kama ziada ni bora zaidi
-kazi ni full time
-Umri usizidi miaka 35
-mshahara ni 520000 take home.
-Anahitajika haraka sana aliyekuwepo amepata dharula,na mashine zinahitaji marekebisho
Tuma maombi yako kwenda kwenda btobstar@yahoo.com
mwisho kesho!.