Fundi umeme anahitajika haraka

Fundi umeme anahitajika haraka

nyuli

Senior Member
Joined
Sep 7, 2012
Posts
128
Reaction score
95
-Fundi umeme anahitajika kwa ajiri ya kufanya kazi ya hudumia mitambo ya umeme katika kiwanda cha kufyatua matofali Dar es salaam.
-Awe na elimu ya ufundi umeme kutoka vyuo vinavyo tambuliwa kisheria kuanzia veta na kuendelea
-Akiwa na elimu ya electronics kama ziada ni bora zaidi
-kazi ni full time
-Umri usizidi miaka 35
-mshahara ni 520000 take home.

-Anahitajika haraka sana aliyekuwepo amepata dharula,na mashine zinahitaji marekebisho

Tuma maombi yako kwenda kwenda btobstar@yahoo.com

mwisho kesho!.
 
Mpigie simu huyu jamaa ana elimu na uzoefu wa kutosha ndani na nje ya nchi.
0658297873 anaitwa Chief Ismail


-Fundi umeme anahitajika kwa ajiri ya kufanya kazi ya hudumia mitambo ya umeme katika kiwanda cha kufyatua matofali Dar es salaam.
-Awe na elimu ya ufundi umeme kutoka vyuo vinavyo tambuliwa kisheria kuanzia veta na kuendelea
-Akiwa na elimu ya electronics kama ziada ni bora zaidi
-kazi ni full time
-Umri usizidi miaka 35
-mshahara ni 520000 take home.

-Anahitajika haraka sana aliyekuwepo amepata dharula,na mashine zinahitaji marekebisho

Tuma maombi yako kwenda kwenda btobstar@yahoo.com

mwisho kesho!.
 
Back
Top Bottom