Pastor Achachanda
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 3,022
- 1,305
Mmmmmh sijui nahisi ndivyo fundi alivyoshonaKosa la fundi au la mvaaji hapo? Kakwapua blauzi ya mkewe kavaa unamlaumu fundi.
Hahahaaaa kumbe wahayaWahaya bwana
We umuoni sura yake huyoHahahaaaa kumbe wahaya
Ametokelezea
daaah nimecheka sana mkuuWe umuoni sura yake huyo
Hiyo siyo blause ni shati la kiume la kitenge. Angalia vifungo vimekaa upande gani, kama ni kushoto basi ni blause na kama ni kulia hilo ni shati la kiume. Usikariri...Kosa la fundi au la mvaaji hapo? Kakwapua blauzi ya mkewe kavaa unamlaumu fundi.
Pengine pia ni blauzi mkuu ila fundi ameamua aweke batani dhati saidi.Inasikitisha sanaHiyo siyo blause ni shati la kiume la kitenge. Angalia vifungo vimekaa upande gani, kama ni kushoto basi ni blause na kama ni kulia hilo ni shati la kiume. Usikariri...