Nipo hapa kigamboni eneo la kampuni za mafuta tumesikia mlio mkubwa kama wa bomu karibu na kampuni ya mafuta ya MOIL.
Waliotokea upande huo wanasema kuna fundi wa Tanesco amelipukiwa na umeme na amekuwa mwekundu mwili mzima(sidhani kama bado yupo hai) na pia wanasema kuna pikipiki imeungua vibaya.
Tupeni taarifa kamili mliopo upande huo au jirani
UPDATES:
Fundi ameharibika vibaya hadi mifupa mbalimbali katika mwili wake inaonekana,amekimbizwa Muhimbili.
hv umeme unaua hadi fundi?
hv umeme unaua hadi fundi?
wameshatoa kafara mgao unakaribia kuisha,,,
Daah fundi katutoka jamani taifa limepoteza fundi umeme
Inalilahi .poleni .wafiwa mungu akupe mema .inaogopesha.na mda huu umeme unashoti kigamboni.kuna taa haziwaki.na zingine zinawaka
Sungura Toto am sorry jamani na kweli sijui nasikia tu,... Mungu aniepushie mbali nimefunga bakuli langu sasa .....Aisee usiseme hivyo we chagga gel hujui madhara ya umeme ww kwenye mwili wa kiumbe hai funga bakuli lako kama huna sera!!
RIP Technician!!!!!