tete'a'tete JF-Expert Member Feb 10, 2010 472 62 Feb 29, 2012 #1 Dears, Jana nimedondosha BB yangu sasa imepata hitilafu kwenye kioo siwezi view chochote sasa mwenye kujua fundi wa simu aina ya Blackberry anisaidie nipo Dar. kuongezea asiwe fundi tapeli mpenda sana hela awe kikazi zaidi... thanks!
Dears, Jana nimedondosha BB yangu sasa imepata hitilafu kwenye kioo siwezi view chochote sasa mwenye kujua fundi wa simu aina ya Blackberry anisaidie nipo Dar. kuongezea asiwe fundi tapeli mpenda sana hela awe kikazi zaidi... thanks!
genius JF-Expert Member Mar 15, 2011 427 337 Mar 1, 2012 #2 Nenda kariakoo mtaa wa aggrey. Then mtafute fundi anaitwa mood. Ukifika office yake utakuta bb, android , sumsung kibao. Ni fund mzuri.
Nenda kariakoo mtaa wa aggrey. Then mtafute fundi anaitwa mood. Ukifika office yake utakuta bb, android , sumsung kibao. Ni fund mzuri.