Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Fundi simu aina zote (flashing and unlocking) only software problems.

Habari fundi nina simu yangu nimwaka na nusu sasa ipo tu ndani, ni ya ku unlock model ni spv c550 (windiws mobile). Nimesha hangaika kwa mafundi wengi wanasema hawana software ya ku unlock.

Please kama upo dar es salaam, ilete simu yako ofisini kwangu.
Nipo kariakoo mtaa wa uhuru, jirani na akiba commercial bank.
 
Dongosolo umemlipa au unshukuru tu?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
hapa nimeamini wengi tuna vimeo asante fundi mimi nina htc g1 nahitaji betr original yake waweza nisaidia nimezunguka kariakoo nimeishia kupewa betr iliyochakachuliwa
 
hapa nimeamini wengi tuna vimeo asante fundi mimi nina htc g1 nahitaji betr original yake waweza nisaidia nimezunguka kariakoo nimeishia kupewa betr iliyochakachuliwa

Sorry kaka kwa upande wa betri sina hakika sana hasa kwa simu ka HTC.
Samahani siwezi kukusaidia.
 
Nina simu mbili aina za Nokia C2-03 na 7210. Nataka kuziwekea phone security code ila tatizo ni kwamba kila nikitaka ku-activate phone security natakiwa kuweka zile codes. Kwa Nokia N1280 ni 12345 nikadhani ndio hiyo hiyo kwa Nokia zote kumbe sivyo. Please assist me codes za hizo simu.
 
Fundi unatupa matumaini. Lakin mafundi wengi hua kama wewe sasa imebaki ni kujarib bahat yako.
Nililetewa ipod ya kichina nikampa mwanangu awe anaitumia kwa fb...lakin ukiiweka line inapiga kama simu...huduma za internet hakuna.

Nikaipeleka kwa mafundi wa mitandao waifanyie confugaration zao...lakin haikubali. Tatizo ni gani?

Nitalipa au nitakuja ofis zako zilipo!
 
Fundi unatupa matumaini. Lakin mafundi wengi hua kama wewe sasa imebaki ni kujarib bahat yako.
Nililetewa ipod ya kichina nikampa mwanangu awe anaitumia kwa fb...lakin ukiiweka line inapiga kama simu...huduma za internet hakuna.

Nikaipeleka kwa mafundi wa mitandao waifanyie confugaration zao...lakin haikubali. Tatizo ni gani?

Nitalipa au nitakuja ofis zako zilipo!

Simu, au ipod nyingi za kichina huwa nazifanyia config ya net na zinakubali poa kabisa.
But kuna nyingine zinakuwa pre-configured from the factory.

hizo hata ukibadili vp settings na configs huwa hazikubali,
but unweza kuileta ofisini kwangu ni ifanyie analysis.

karibu sana tupo kariakoo mtaa wa uhuru karibu na akiba benk, ukifika akiba benk nipigie simu 0715353108 au 0756144060 nakuja kukuchukua hapo hapo ulipo.
 
Greetings, am having a huawei E560s mobile wifi. Are you able to unlock it?

Yes boss, i am able to unlock that router cost is 25,000/= unlocking this router is server based, it cost me 12 USD which is equal to 4 credits. But u have to bring it my office for unlocking process. I cant unlock this router remotely.

we are located at Kariakoo uhuru street near akiba commercial bank. just call me 0715353108 or 0756144060 when ur around akiba bank i will come for u.

karibu sana.
 
Habari fundi,
Nina nokia aina ya c7 tatizo lake ni kujizima na kujiwasha.
itakua na tatizo gani?
 
Habari fundi,
Nina nokia aina ya c7 tatizo lake ni kujizima na kujiwasha.
itakua na tatizo gani?

Nokia C7 ni sl3 nokia phone,
Kwanza bofya *#06# ku check serial number kama ipo safi

ikiwa safi inakua kama 352829057605137

ikiwa chenga inakua 123456??????

ikiwa chenga husababisha kuwaka na kujizima kwa simu yako.

solution ni kupata rpl file kurekebisha sim lock.

Other ways inatakiwa kuiflash
ikishindikana ktk flashing inakua ni hard ware problem.

Ilikufika ofisini kwetu,
fika kariakoo mtaa wa uhuru, karibu na akiba bank.
ukifika call 0715353108 or 0756144060
 
Nokia C7 ni sl3 nokia phone,
Kwanza bofya *#06# ku check serial number kama ipo safi

ikiwa safi inakua kama 352829057605137

ikiwa chenga inakua 123456??????

ikiwa chenga husababisha kuwaka na kujizima kwa simu yako.

solution ni kupata rpl file kurekebisha sim lock.

Other ways inatakiwa kuiflash
ikishindikana ktk flashing inakua ni hard ware problem.

Ilikufika ofisini kwetu,
fika kariakoo mtaa wa uhuru, karibu na akiba bank.
ukifika call 0715353108 or 0756144060

IMEI ni 35456584265812654
Je hapo simu ina tatizo au?
 
Ni kweli bro, factory unlocking of iphones is real hard, hasa kwa simu ambazo zinatoka nje ya marekani.
Kama kweli upo serious mimi huwa na fanya kwanza kazi then ndo tunalipana.

hebu tuma IMEI ya hiyo iphone ktk namba yangu. 0715353108. kupata IMEI bofya *#06# then send me those 15 digits found.

thanks

Mkuu heshima kwako
Kama ni Bell ya Canada nadhani ataendelea kuifanya simu yake kama Ipod kama ni network nyingine imetulia mkuu, Fanya ucheck na unlock ya hii kitu mkuu ni

Nokia C1-01
IMEI 359060042983925
Orange UK
 
Can u unlock toshiba regza phone, model T-01C ya Japan!
 
Can u unlock toshiba regza phone, model T-01C ya Japan!

Ukiweka sim card ya Tanzania kama vile tigo, airtel, voda au zantel.
then ukiwasha simu ina display messege gani?

je inakupa option ya kuingiza unlock code?
kama ndio itawezekana through unlock code.

else itakua ngumu kwa sasa, coz no tool support patch unlocks for that phone mode.
 
Ilikua na pass code
Then nikiweka wrong attempts napata iphone disabled.

Utanisaidiaje?

Ok,
Passcode ni case rahisi.
Kama una internet connection ya uhakika unaweza uka solve tatizo ww mwenyewe.

Connect iphone kwenye itunes into recovery mode then restore.

But make sure your phone is factory unlocked.
Else bring it to me.

Cost is 30,000/=
 
Back
Top Bottom