Fundi Mpemba Kumzibiti Mume mcharuko.

Yeye ana simulizi tu hajui fundi huko. Naomba msaada pls

huyo shoga yako ndiye fundi mwenyewe, anamaanisha kuwa wewe una matatizo ndiyo maana mumeo hatulii ila akifika kwake atatulia.
 
Njoo upewe 'shuntama' (kaa chini ) umpe hapa bukoba ni mwisho na ukiona haifai unapewa ya kumdolea hiyo shuntama
 
Daah Yaani wewe nikuaminia....mama ushauri...mzima lakini mamito..umepotea!!
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu......achana kabisa na hao wapemba na huyo shoga ako naona hakutakii mema,yeye alishapeleka wa kwake kwa mpemba au ndo anataka mumeo akafanyiwe majaribio???? muombe Mungu sana,hapa tunashuhuda za watu waliopita unakopita,wakaumia sana lakini wakazidi kumuomba Mungu na Mungu kwa rehema zake ameweza kuwajibu.mtegemee Mungu,anawaheshimu wanaomtumaini.Sijui kwa kiasi gani waweza vumilia au kuishi bila huyo mwanaume....ila jiweke wewe kwanza,mwenzio nina mashaka amezidiwa tamaa haoni kuna magonjwa au pengine anajikinga....kama unaweza zungumza nae kuwa sasa unahofia maisha yako,kama hawezi muache au kata kufanya nae tendo la ndoa.....he utakuja waacha wanao wanne hapa,bora afe yeye wewe ubaki!:juggle:
 
MIMI MTALAAM WA MAMBO HAYO NAMJUA, LAKINI NAKUPA TAHADHALI (side effect) UNAWEZA KUMFANYA MUMEWE AWE ZEZETA, KUNA MTU ALIMFANYIA MUMEWE, BASI AKAWA MUME AKIRUDI NYUMBANI NI NDANI TU, IKAFIKIA MAHALI JAMAA HATAKI HATA KWENDA KAZINI NA MWISHOWE AKAFUKUZWA KAZI. NO SHERIA YA AJIRA NA MAHUSIANO KAZINI INARUHUSU KUTUMIA NENO AKAACHISHWA KAZI.
 
Kabla hujaenda kwa mpemba mchunguze kwanza ndoa zake zimetulia? Maana usijekuwa pumziko lake na hivi kwa jinsi ulivomuamini na kujikabidhi kwake kila kitu utasema 'yes sir' hata akikuambia shart ulale naye kwa wiki moja.
Mama, Yesu ndiye jibu, achana na mpemba, naye anamatatizo kibao, atachofanya ni kuhamishia baadhi kwako.
 
si uende Pemba basi! angalia yawezekana hata hyo shogha yako anaweza akawa ni mwenza wako! huo ni ushirikina-kama mkristo rejea Bibilia ka Muislamu rejea Kurani! alafu kama sihelewi vile unaposema hapishi Sketi, na uo ukicheche umeanza baada ya kuingia naye kwa ndoa au hata kabla!
 
Nenda Buguruni pale wanauza mbao, uliza kwa mzee Ali mpemba. Huyo anafunga gavana na hutumia tool yake kutia kwenye kidude chako kufanikisha hiyo gavana. Kama upo tayari nenda anuani ndio hiyo.
 
dada mie mpemba,,namjua huyo mtu lakini masharti yake huyaweziii,,,,anaweza kumfunga mumeo ila itabidi uwende mwenyewe kwa huyo mpemba,lakini naogopa akija kufanyia dawa mumeo akatulia na wewe ukamchunuku mpemba,,mana dawa yake lazima mufanye tendoo,,,sijui kama kuna mwengine ambaye hana tatizo kama la huyu nimjuee miee,,ila hiyo siri yako nakudokeza tuu,,,,

Ukiwa tayari nitumie msg kwa kutmia profile yangu nikuelekezeee,,,,lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom