Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Yeye ana simulizi tu hajui fundi huko. Naomba msaada pls
huyo shoga yako ndiye fundi mwenyewe, anamaanisha kuwa wewe una matatizo ndiyo maana mumeo hatulii ila akifika kwake atatulia.
Yeye ana simulizi tu hajui fundi huko. Naomba msaada pls
huyo shoga yako ndiye fundi mwenyewe, anamaanisha kuwa wewe una matatizo ndiyo maana mumeo hatulii ila akifika kwake atatulia.
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu......achana kabisa na hao wapemba na huyo shoga ako naona hakutakii mema,yeye alishapeleka wa kwake kwa mpemba au ndo anataka mumeo akafanyiwe majaribio???? muombe Mungu sana,hapa tunashuhuda za watu waliopita unakopita,wakaumia sana lakini wakazidi kumuomba Mungu na Mungu kwa rehema zake ameweza kuwajibu.mtegemee Mungu,anawaheshimu wanaomtumaini.Sijui kwa kiasi gani waweza vumilia au kuishi bila huyo mwanaume....ila jiweke wewe kwanza,mwenzio nina mashaka amezidiwa tamaa haoni kuna magonjwa au pengine anajikinga....kama unaweza zungumza nae kuwa sasa unahofia maisha yako,kama hawezi muache au kata kufanya nae tendo la ndoa.....he utakuja waacha wanao wanne hapa,bora afe yeye wewe ubaki!:juggle:
Mhhh kazi kwelkweli