Fundi mahiri wa kunyoosha magari anatafutwa

steveachi

JF-Expert Member
Nov 7, 2011
10,587
12,168
Wakuu,nina kavitz changu Old model kilipata ajali mwaka jana na kimekaa juu ya mawe miezi kama 7 hvi bila kuguswa baada ya kuumizwa na hiki kitoroli.
Naomba kama kuna fundi magari wa ukweli atakayeweza kuitengeneza gari hii na awe mkweli kama gari itapona au niiuze kama sckrepa kama haiwezekani,anishauri ili nisiingie gharama zaidi

Kwa ufupi kama nitapata half cut ya mbele iliyo complete kwa ajili ya kuifix tu ndio itakuwa bomba sana

Ningeomba kupatiwa gharama za makadirio ya kazi hiyo ili nijiandae

Nipo Morogoro ila hata kama Dar nitalileta hili gari.

Picha za gari lenyewe nitaziambatanisha ingawaje sioni option ya kuziweka kama kwenye version ya zamani ya JF

ahsanteni sana
 
Mafundi wa ukweli wapo mkuu na inawezekana wengine wamo humu.

Ushauri wangu ukipata trip ya Dar njoo na picha nenda msimbazi centre ulizia garage ya makapuchin kuna mafundi pale, mchina akasome!

Na uzuri wao hawapokei gari ilimradi wanapokea bali watakupa mihadi lini ulete baada ya kumaliza kazi waliyonayo mkononi!
 
Wakuu,nina kavitz changu Old model kilipata ajali mwaka jana na kimekaa juu ya mawe miezi kama 7 hvi bila kuguswa baada ya kuumizwa na hiki kitoroli.
Naomba kama kuna fundi magari wa ukweli atakayeweza kuitengeneza gari hii na awe mkweli kama gari itapona au niiuze kama sckrepa kama haiwezekani,anishauri ili nisiingie gharama zaidi

Kwa ufupi kama nitapata half cut ya mbele iliyo complete kwa ajili ya kuifix tu ndio itakuwa bomba sana

Ningeomba kupatiwa gharama za makadirio ya kazi hiyo ili nijiandae

Nipo Morogoro ila hata kama Dar nitalileta hili gari.

Picha za gari lenyewe nitaziambatanisha ingawaje sioni option ya kuziweka kama kwenye version ya zamani ya JF

ahsanteni sana

Libebe Mgongoni Uje Nalo Dar Kuna Fundi Mmoja Yupo Gerezani Atalitengeneza. Halafu Siku Hizi Hizo Gari Za Vitz Na IST Huku Dar Zinaitwa " BAJAJI " Sijui Kwa Huko Kwenu Morogoro Mnaziitaje.
 
Libebe Mgongoni Uje Nalo Dar Kuna Fundi Mmoja Yupo Gerezani Atalitengeneza. Halafu Siku Hizi Hizo Gari Za Vitz Na IST Huku Dar Zinaitwa " BAJAJI " Sijui Kwa Huko Kwenu Morogoro Mnaziitaje.


Hahahaaaaaaa,ushaanza wewe mzanaki wa Dar,kitoroli changu nina mpango wa kukifufua kaka,si unajua mjini njaa kali sana,bora hata kipone kiniingizie hata kipande dusko kama zamani
 
Libebe Mgongoni Uje Nalo Dar Kuna Fundi Mmoja Yupo Gerezani Atalitengeneza. Halafu Siku Hizi Hizo Gari Za Vitz Na IST Huku Dar Zinaitwa " BAJAJI " Sijui Kwa Huko Kwenu Morogoro Mnaziitaje.


halafu mbona hii new version ya JF inanizingua ku-upload picha mkuu,nielekeze kaka nataka kutupia picha zake mafundi waione then wanishauri kama niiuze kama skrepa,au niitengeneze
 
halafu mbona hii new version ya JF inanizingua ku-upload picha mkuu,nielekeze kaka nataka kutupia picha zake mafundi waione then wanishauri kama niiuze kama skrepa,au niitengeneze

Cc: Mafundi Wakuu Wa IT Nifah, Mussolin5, kadoda11 Na UncleBen. Sisi Wengine Tunajua " Kuroga " Tu Juzi Taifa Tumeroga Hadi Tukajiroga Wenyewe Ngoma Na Tambwe Wakatunyoosha.
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,nafikiri watakuja kunielekeza sasa hivi
 
Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa,nafikiri watakuja kunielekeza sasa hivi
Unatumia Browser au Jf App ?

Kama ni browser chini kabisa kuna sehemu imeandikwa write your reply kwa juu yake kuna toolbar ,pembeni kabisa upande wa kulia kuna option ya SEND kabla ya hilo neno angalia utaona symbol inayo kupa option ya ku attach unachotaka

Kama ni jamii forum App bonyeza hapo kwenye alama ya kujumlisha nikiwa na maana ya quick reply baada ya hapo juu kulia kuna vidoti vitatu vimejipanga juu kwenda chini au virseversa Bonyeza hivyo vi doti utapata option ya ku attach picha
 
Duh! Hata mimi baada ya kupata majanga ya bara barani sasa nimefikia uamuzi wa kutafuta kigari kizee zee cha bei nafuu ambacho hata kikibutuliwa roho haitaumia... Nimepata somo. Haina haja ya kupoteza mamilioni ya pesa kununua gari la thamani alafu third party wanakuja kuligeuza screpa within short time...
 
Cc: Mafundi Wakuu Wa IT Nifah, Mussolin5, kadoda11 Na UncleBen. Sisi Wengine Tunajua " Kuroga " Tu Juzi Taifa Tumeroga Hadi Tukajiroga Wenyewe Ngoma Na Tambwe Wakatunyoosha.
Hahahahaaa jamani miss you my POPOMA.
Bora sasa naona maumivu yamepotea umesema jambo nikafurahi.
Pole sana,nilikuona ukiwa umebebwa kwenye machela baada ya kuzimia mara 3!
 
Mafundi wa ukweli wapo mkuu na inawezekana wengine wamo humu.

Ushauri wangu ukipata trip ya Dar njoo na picha nenda msimbazi centre ulizia garage ya makapuchin kuna mafundi pale, mchina akasome!

Na uzuri wao hawapokei gari ilimradi wanapokea bali watakupa mihadi lini ulete baada ya kumaliza kazi waliyonayo mkononi!
Nani kakwambia kua....mchina ananyoosha?
 
Duh! Hata mimi baada ya kupata majanga ya bara barani sasa nimefikia uamuzi wa kutafuta kigari kizee zee cha bei nafuu ambacho hata kikibutuliwa roho haitaumia... Nimepata somo. Haina haja ya kupoteza mamilioni ya pesa kununua gari la thamani alafu third party wanakuja kuligeuza screpa within short time...

we acha tu mkuu,hapa natafuta fundi mzuri alitengeneze then mambo mengine mbele kwa mbele
Unatumia Browser au Jf App ?

Kama ni browser chini kabisa kuna sehemu imeandikwa write your reply kwa juu yake kuna toolbar ,pembeni kabisa upande wa kulia kuna option ya SEND kabla ya hilo neno angalia utaona symbol inayo kupa option ya ku attach unachotaka

Kama ni jamii forum App bonyeza hapo kwenye alama ya kujumlisha nikiwa na maana ya quick reply baada ya hapo juu kulia kuna vidoti vitatu vimejipanga juu kwenda chini au virseversa Bonyeza hivyo vi doti utapata option ya ku attach picha

shukrani mkuu,ngoja nitest,mi natumia browser ya torch kwenye PC
 
Walevi inawausu iyo
 

Attachments

  • 1456170403060.jpg
    1456170403060.jpg
    66.9 KB · Views: 40
we acha tu mkuu,hapa natafuta fundi mzuri alitengeneze then mambo mengine mbele kwa mbele


shukrani mkuu,ngoja nitest,mi natumia browser ya torch kwenye PC

Nimejaribu kutumia na browser nyingine ya chrome lakini sizioni hizo mambo mkuu,ngoja niendelee kutafiti ila nimekodoa mimacho weeeeee,bila bila
 
Unatumia Browser au Jf App ?

Kama ni browser chini kabisa kuna sehemu imeandikwa write your reply kwa juu yake kuna toolbar ,pembeni kabisa upande wa kulia kuna option ya SEND kabla ya hilo neno angalia utaona symbol inayo kupa option ya ku attach unachotaka

Kama ni jamii forum App bonyeza hapo kwenye alama ya kujumlisha nikiwa na maana ya quick reply baada ya hapo juu kulia kuna vidoti vitatu vimejipanga juu kwenda chini au virseversa Bonyeza hivyo vi doti utapata option ya ku attach picha

Haya steveachi Tuwekee Sasa Huo " Mkangafu " Wako Tuuthaminishe Tuone Kama Inastahili Kutengenezwa au Tulitupe Tu Tuokoe Mazingira.
 
Haya steveachi Tuwekee Sasa Huo " Mkangafu " Wako Tuuthaminishe Tuone Kama Inastahili Kutengenezwa au Tulitupe Tu Tuokoe Mazingira.

hahahaaaaaaa,najua tu wazee wa madongo macho pyee kama mjusi kabanwa na mlango kutaka kutoa lugha zenu za karaa,bado sijaona hizo option alizoniambia UncleBen mkuu
 
Back
Top Bottom