nessonlegend
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 1,698
- 1,508
EDITED:
Mwalimu alisema laiti jana ingekuwa ijumaa,leo ingekuwa jumamosi.Mwalimu aliyasema maneno hayo siku gani?
Baada ya miaka kadhaa nakuja na ka update haka hapa chini,
UPDATE: Changamsha akili na fumbo hili la kiswahili. Tuone IQ yako ipo vipi
Fumbo: Upepo ulikuwa unavuma sana kutoka mashariki hadi magharibi. Nilikuwa nikiliendesha gari la moshi linalotumia umeme kutoka Burundi hadi Malawi. Je, moshi ulielekea upande gani?
Mwalimu alisema laiti jana ingekuwa ijumaa,leo ingekuwa jumamosi.Mwalimu aliyasema maneno hayo siku gani?
Baada ya miaka kadhaa nakuja na ka update haka hapa chini,
UPDATE: Changamsha akili na fumbo hili la kiswahili. Tuone IQ yako ipo vipi
Fumbo: Upepo ulikuwa unavuma sana kutoka mashariki hadi magharibi. Nilikuwa nikiliendesha gari la moshi linalotumia umeme kutoka Burundi hadi Malawi. Je, moshi ulielekea upande gani?