Fumbo la kihisabati

Fumbo la kihisabati

Kwenye wachangiaji wote @FRANCISDADON ndie aliye sahihi amejitahidi kutoka ufafanuzi wakutosha kama ijaelewa basis

In summary
1) mwizi alivyokuja kuiba muuza duka kaibiwa 100,000/= hivyo alipeza 100,000/=

2)mwizi akaja kama mteja wa kawaida akanunua bidhaa za 90,000/= then muuza duka akamrudishia 10,000/= sio kwa makusudi ila imeelezwa kuwa ni kwaabaati mbaya hivo muuzaji alighafirika kwaiyo mauzo ya 90,000/= yalienda sawa tu ila kwa baati mbaya alivyomrudishia 10,000/= kwaiyo alipoteza 10,000/=

Solution
Alipoteza mara ya kwanza = 100,000/=
Chenji aliyorudisha baati mbaya = 10,000/=

100,000+10,000 = 110,000/=

Therefore alipoteza 110,000/=

NB: imeandikwa kwamba mwizi alikuja na pesa ileile akanunua bidhaa za 90,000/= kwahiyo aiwezekani atoe laki moja nakati anahitaji bidhaa za 90,000/= ,hii statement inasapotiwa na pale panaposema muuzaji alitoa pesa kwabaati mbaya hivyo tunaona angekuwa mnunuaji katoa 100,000/= kusenheandikwa kwa baati mbaya hii ningekuwa kwa baati mzuri sasa
 
Kwahiyo wewe ukienda na laki 5 dukani kununua vitu vya elfu 20 huwa unatoa laki 5 yote ili urudishiwe chenji ya 480k?!
Kwani umeambiwa huyo mwizi aliiba Tsh!
Kama mwizi alikuwa mzimbabwe, kwani hawezi kuwa na noti ya 1m.?

Nawewe pia Low IQ.
 
Back
Top Bottom