Planett JF-Expert Member Mar 20, 2014 10,425 15,978 Aug 12, 2019 #21 mtu mzima atazikwa na Myakubanga
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Aug 12, 2019 Thread starter #22 Avriel said: Ongezeni mafumbo. Click to expand... Kati ya ugali wa moto na wachaga, nani anatoka moshi?
Avriel said: Ongezeni mafumbo. Click to expand... Kati ya ugali wa moto na wachaga, nani anatoka moshi?
dadysam Member Nov 15, 2016 48 39 Aug 12, 2019 #23 Myakubanga said: Nitajie neno la kiswahili lenye herufi tano,ambalo kila ukitoa herufi toka kulia unapata neno lingine la kiswahili lenye maana. ONDOA NDOA DOA OA A Kitambo nilichemshwa sana na hili neno Click to expand...
Myakubanga said: Nitajie neno la kiswahili lenye herufi tano,ambalo kila ukitoa herufi toka kulia unapata neno lingine la kiswahili lenye maana. ONDOA NDOA DOA OA A Kitambo nilichemshwa sana na hili neno Click to expand...
Avriel JF-Expert Member Jun 25, 2017 4,947 5,342 Aug 13, 2019 #24 Myakubanga said: Kati ya ugali wa moto na wachaga, nani anatoka moshi? Click to expand... Kuni zinatoka moshi
Myakubanga said: Kati ya ugali wa moto na wachaga, nani anatoka moshi? Click to expand... Kuni zinatoka moshi
Nibiru X JF-Expert Member Jun 30, 2019 410 369 Sep 2, 2019 #25 Me370 said: Ni sehemu gani ya mwili wa mwanaume ambayo ni laini, imezungukwa na nywele, inakiungo kinachoweza kuelekezwa upande wowote ule na ikikerwa au kuchezewa hutoa majimaji yanayotiririka? Click to expand... Jicho
Me370 said: Ni sehemu gani ya mwili wa mwanaume ambayo ni laini, imezungukwa na nywele, inakiungo kinachoweza kuelekezwa upande wowote ule na ikikerwa au kuchezewa hutoa majimaji yanayotiririka? Click to expand... Jicho
Nibiru X JF-Expert Member Jun 30, 2019 410 369 Sep 2, 2019 #26 Mbele ya kuku kuna kuku na nyuma ya kuku kuna kuku wapo kuku wangapi
Nibiru X JF-Expert Member Jun 30, 2019 410 369 Sep 2, 2019 #27 Mama Yang mimi anawatoto wa 3 wakwnz ni juma na pili uledi je watatu
12 Marook JF-Expert Member Oct 31, 2018 441 329 Sep 16, 2019 #29 Wapo kuku wawili mkuu Nibiru X said: Mbele ya kuku kuna kuku na nyuma ya kuku kuna kuku wapo kuku wangapi Click to expand...
Wapo kuku wawili mkuu Nibiru X said: Mbele ya kuku kuna kuku na nyuma ya kuku kuna kuku wapo kuku wangapi Click to expand...
Tieli JF-Expert Member Oct 7, 2018 648 1,501 Sep 17, 2019 #30 Nibiru X said: Mama Yang mimi anawatoto wa 3 wakwnz ni juma na pili uledi je watatu Click to expand... Anaitwa tatu
Nibiru X said: Mama Yang mimi anawatoto wa 3 wakwnz ni juma na pili uledi je watatu Click to expand... Anaitwa tatu