Hata wewe huna busara?
Twin hayo kupitia lazima lisipopita sahzi mbeleni linakusubiri
Haaahaaaa.....Dhooo.. Kweli..!!! Sasa ashazoea mchezo wa 6*6 Ataweza mashariti ya usister kweli? Kunakukaguliwa..Mamii kwanini tu usiwe sista ulitumikie kanisa, naona mapenzi yanakuzidi nguvu...
Kuna kisa nlisoma, Mama mmoja alimfumania mumeo na kimada flani so ili amsamehe mume wake alimzungusha kijijini uchi wanyama kwa mda wa siku tatu. Hebu jaribu labda itafaa.Ukimfumania mpenz, mke, mume wako live bila chenga na mtu mwingine utachukua jukumu gani ambalo angalau ukifanya hilo nafsi inatulia kidogo! I like to hear from you best friends kwa wale walio wahi kutokewa watusaidie wengine kabla janga halijatokea
samehe 7x 70.