Fumanizi


Jamaa naona anajishauri sana kumuacha maana shemeji yangu mashaallah, mpaka mimi huwa naogopa kumpa lifti, nguo anazovaa halafu akae pale mbele, napata wakati mgumu sana kutokana na umbo lake hasa akikaa nguo inapanda juu, najikuta naangalia gear lever na kuchomoa shati langi kulivuta mbele kuficha aibu.
 

cha kwanza inabidi ambadilishe kimavazi avae nguo za heshima sio umemuoa mwanamke alafu anaendelea kuvaa nguo ambazo zinaonyesha sehemu zake zinazopswa kuficha so cha kwanza amwambie abadilishe mavazi yake ili apunguze rate ya kutamaniwa na kutongozwa
 

Team bazaz at work
 
Kusamehe xawa atamsamehe bt kurudisha imani inakuwa ngumu xana, 7bu wanasema mtu akikusaliti mara 1 atarudia tena na tena!
 
Huyo jamaa aamuae moa kupiga chini au kendelea na mke wake. Uamuzi wa mwisho ano yeye. Ila ajue huyo mke wake ni ''ma.ya.la.'' Mambo mengine mtihani kweli kweli.
 
Huyo jamaa aamuae moa kupiga chini au kendelea na mke wake. Uamuzi wa mwisho ano yeye. Ila ajue huyo mke wake ni ''ma.ya.la.'' Mambo mengine mtihani kweli kweli.

jamaa anaonekana bado anampenda sana mke wake.
 
Mwambie apige chini asirembeiga, tangu lini kunguru likafugika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…