Fumanizi

kumsamehe mtu haina maana kwamba lazima mrudiane cha kumshauri amsamehe na amuache moja kwa moja ili apate funzo uko aendako

Waswahili wanasema ukitaka kumjua mgoni wako muache mkeo, utashangaa akimuacha anaanza kuonekana na mtu unaemfahamu wala hukumdhania.
 
pengine kwel hakuolewa bt jamaa alikua anaish naye tu kixela
 
... kumhoji jamaa alionekana hana makosa maana aliambiwa hajaolewa, mke alikiri kumwambia hivyo, ala anaomba msamaha, unamshauri vipi ndugu yangu?

Namshauri ajue Mwanamke ni binadamu kama yeye na wote wawili wana mapungufu kama binadamu wengine.. kama anaweza ajaribu kusahau hilo ila itategemea na tabia ya mwanamke baada ya hapo... Hivi tujiulize kuna mangapi ambayo hatuyajui na kama tungeyajua tungeshakula sumu au kubadili wanawake 100... No body is perfect under the sun!
 
...ndo matatizo ya serikali mbili haya,afadhali tatu kila mmoja kivyake. Ningekuwa mimi ningemwambia achague serikali tatu maana mama kashavunja muungano kwa kumkana mumewe kama zanzibar...
 
...ndo matatizo ya serikali mbili haya,afadhali tatu kila mmoja kivyake. Ningekuwa mimi ningemwambia achague serikali tatu maana mama kashavunja muungano kwa kumkana mumewe kama zanzibar...

Mkuu ndoa ya Serikari Tatu ikoje hiyo naomba unifafanulie.
 
Dah hizi ndoa za siku hizi majanga matupu yaani namuonea huruma kweli mshkaji mkewe anamsaliti bila ya mwenyewe kujua.,i guess atakuwa ameumia sana. Ila cha msingi akae nae amuulize sababu ya kumsaliti ili jamaa ajirekebishe maana najua kila kitu kinatokea kwa sababu ikiwa tu ni ameteleza basi anaweza kumsamehe lakini asirudie tena akirudia no excuses apige chini.
 
Kama huyo kaka anajua kusoma na kuandika basi ampe talaka ya maandishi mwenza wake halafu yeye abaki njia kuu coz mwenzake kafagilia michepuko ambayo sio dili kwa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…