Makinika na tahadhari ya pichanaomba radhi kwa wale wote ambao hawatapendezwa na maudhui ya picha....
Cha mtu sumu... Jihadhari yasikukute... Hujui katoka naye wapi na wamepitia mangapi...
Binadamu anapoguswa hisia zake za ndani hugeuka katili kuzidi mnyama
Aiyaaaa kavunjwa utam wake jamaaa,dah!!! huyo alomfanyia hivi mwenzie na alaaniwe kabisaa,kumuondolea mwenzake 'nema' si jambo jema hata chembe,bora angemtoa jicho la kushoto lakini sio pepo dunia...