funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Kuna jamaa mpaka rangi kucha na kuuza urembo juzi kafumaniwa mtaani kwetu ndani ya geti nyumbani kwa mtu alikuwa anampaka rangi mke wa mtu halafu anammega. Sasa majirani walishtukia issue wakamwambia mwenye mali (jamaa anapiga job benki flani)
Chezo ilikuwa kila mara yule muuza urembo akiingia kwenye ile nyumba anakaa kama masaa mawili hivi na akitoka anasindikizwa tena na maurembo yake anabebewa mpk getini anasepa
Sasa juzi jamaa wa urembo kaingia watu wakamwita mwenye mali aje kufumania, ingawa hawakukutwa red handed lakini jamaa alikutwa sebuleni anapiga chai ya maziwa kwa soseji huku yule dada akiwa bafuni anaoga nadhani akijiandaa na pambano au akijisafi na pia pale sebuleni ilikutwa chupi ya yule dada sasa haikueleweka kama walishapiga cha fasta lah maana toka muuza urembo aingie mpk mwenye mali anakuja ilishapita kama dk 45 hivi
Kilichonichekesha ni kwamba jamaa walioingia kufumania ambao ni jamaa marafiki wa yule mwenye mke walimpiga mkwara yule chinga kuwa nae wanamgeuza kwa hiyo wakamkwida mavue nguo (ingawa ilikuwa ni mkwara tu) unaambiwa yule muuza urembo alipiga makelele mtaa mzima ulisikia huku anasema bora hata achomwe moto kuliko kugeuzwa au kama ni kumgeuza labde awe amekufa. Jamaa baadae alipelekwa polisi ingawa baadae nasikia alitolewa kwa kukosekana ushahidi wa kimazingira
Cha ajabu ni kwamba huyo dada ni mzuri na wameoana kama mwaka hivi umepita ndoa bado changa na pia jamaa amemnunulia gari mkewe yaani ilikuwa maswali mtaa wote wanajiuliza huyu mama alikuwa anapata nini kwa yule mmachinga
Chezo ilikuwa kila mara yule muuza urembo akiingia kwenye ile nyumba anakaa kama masaa mawili hivi na akitoka anasindikizwa tena na maurembo yake anabebewa mpk getini anasepa
Sasa juzi jamaa wa urembo kaingia watu wakamwita mwenye mali aje kufumania, ingawa hawakukutwa red handed lakini jamaa alikutwa sebuleni anapiga chai ya maziwa kwa soseji huku yule dada akiwa bafuni anaoga nadhani akijiandaa na pambano au akijisafi na pia pale sebuleni ilikutwa chupi ya yule dada sasa haikueleweka kama walishapiga cha fasta lah maana toka muuza urembo aingie mpk mwenye mali anakuja ilishapita kama dk 45 hivi
Kilichonichekesha ni kwamba jamaa walioingia kufumania ambao ni jamaa marafiki wa yule mwenye mke walimpiga mkwara yule chinga kuwa nae wanamgeuza kwa hiyo wakamkwida mavue nguo (ingawa ilikuwa ni mkwara tu) unaambiwa yule muuza urembo alipiga makelele mtaa mzima ulisikia huku anasema bora hata achomwe moto kuliko kugeuzwa au kama ni kumgeuza labde awe amekufa. Jamaa baadae alipelekwa polisi ingawa baadae nasikia alitolewa kwa kukosekana ushahidi wa kimazingira
Cha ajabu ni kwamba huyo dada ni mzuri na wameoana kama mwaka hivi umepita ndoa bado changa na pia jamaa amemnunulia gari mkewe yaani ilikuwa maswali mtaa wote wanajiuliza huyu mama alikuwa anapata nini kwa yule mmachinga