G
guest-1787677561
Guest
Si mliingia nyie Mbumbumbu FC? Mbona sasa mpo kwenye kombe la VICOBA? Si mngechukua ubingwa wa Afrika?😁😁😁Kocha wa mamelod mpuuzi,unamtoa Ribeiro kwasababu gani wakati anawakimbiza sana mashindano ya Africa ya hovyo,kila mwaka mshindi ni yuleyule huh! Sasa kina haja gani ya mashindano?
Usijiandikie tu. Mpira ni uwekezaji. Uwekezaji wa Al Ahly ni haki yao kushinda ubingwa wa afrika sio nyie mnaomlamba viatu Mo na shangazi yake alafu anamsajili Ateba.