Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,888
- 2,385
lengo kuu la kutaja taja majina ya watu hapa ni kutaka kupotosha ukweli wa video ya lwakatare akipanga ugaidi...watanzania wa leo si wa kudanganywa
Nahisi wewe ni mmoja wa hawa hapa chini!!!
Mheshimiwa Spika, ushahidi wenyewe ni kwamba baada ya Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA kutuhumiwa kwamba anahusika na ugaidi na video yake kurushwa kwenye mitandao ya kijamii, Muhidin Issa Michuzi, ambaye ni mpiga picha wa Rais, Ikulu, aliandika barua-pepe kwa Salvator Rweyemamu, Prosper Mbena, Hamis Mwinyimvua, Liberatus Mulamula, Msafiri Marwa, Laurent Ndumbaro na wengine ambao ni watumishi wenzake wa Ofisi Binafsi ya Rais akiwapongeza kwa kazi nzuri na ya ziada waliyoifanya ya kutengeneza video ya Lwakatare, na kuwaeleza kuwa hiyo ni kete kubwa kwao hivyo lazima waipigie kelele sana.