FULL MATCH: ISRAEL 4 IRAN 1

FULL MATCH: ISRAEL 4 IRAN 1

Mkuu ni habari hii tu ndio mnaikubali vip ile ya kusambaratishwa kwa makao makuu ya mossad unayo ?

Sijabisha ila Iran ni kawaida yake kukupa sifa
1000609648.jpg
 
site zimepigwa zikiwa kwenye mahandaki chini, sasa satelite unayoongeleea wewe ni ipo boss?
Unless hujui english ,uwe unafuatilia international news siyo kila habari utaipata millard ayo
 
tehran walijua wanauliwa wote sasa wamebaki wataachaje kusherekea? kwao huo ni ushindi mkubwa
Nani alianzisha vita? halafu utuambie hapa nani alijificha kwenye kwenye mapango underground
 
Nani alianzisha vita? halafu utuambie hapa nani alijificha kwenye kwenye mapango underground
alienzisha vita israel, na akatimiza malengo yake, aliyejificha ni hayatola
 
Nani alianzisha vita? halafu utuambie hapa nani alijificha kwenye kwenye mapango underground
netanyahu yeye anapiga tuu misele kama kawa, ila kibabu ndo kipo chini mapangoni
 

Attachments

  • 6cd1cd90e63aeb67c8f15ecf6b7dafc0.mp4
    3.2 MB
iran zaidi ya kulenga aprtment kipi kingine amefanya?
Ilani sio apartment kawacha kweli kweli mpaka trump wakati anaomba poo alikiri hilo kwa kusema Israel was fucked very hard for this last two days
 
Ilani sio apartment kawacha kweli kweli mpaka trump wakati anaomba poo alikiri hilo kwa kusema Israel was fucked very hard for this last two days
zaidi ya apartment wapi walipiga zaidi?
 
Mechi imeanza
Goli la kwanza: Iran Kapigwa airdefense zake zote
Goli la pili: iran kauliwa scientist wake na viongozi wake wote wa kijeshi, hapa mabeki wa ujasusi wa iran wamelala
Goli la tatu: military assets zake theluthi moja zimeharibiwa
Goli la nne: vinu vya nuclear vyote vimeshambuliwa

Iran kabahatisha karudisha goli moja kashambulia apartments za telaviv, jerusalem na haifa

Referee TRUMP kamalima mechi dakika 90

ISRAEL 4, IRAN 1
Ile tulivokua tunaaminishwa na wavaa kobasi na mashehe ubwabwa humu kwamba Iran ina nguvu kubwa za kijeshi kumbe ni mipasho tuu.. iran amepigwa kama mtoto akaanza kushambulia apartments.. mtu amekaa kwenye anga lako wiki mbili na hujamfanya chochote ? ameshindwa kudondosha ata drone moja? aibu kubwa hii
Weka hii picha kwenye huu uzi
Screenshot_20250625-144111.png
Screenshot_20250625-144111.png
 
Back
Top Bottom