Waziri nchini Uganda atangaza kujitoa kwenye mazungumzo ya usuluhishi nchini Congo mara baada ya kupewa tuhuma za kuwasaidia waasi wa M23 nchini Congo.
Waziri nchini Uganda atangaza kujitoa kwenye mazungumzo ya usuluhishi nchini Congo mara baada ya kupewa tuhuma za kuwasaidia waasi wa M23 nchini Congo.
Mkuu hizo ni gimmick za kuhadaa dunia, M7 na Kagame si watu wa kuleta suluu yoyote nchi CONGO-wenyewe wanataka fujo hizi ziendelee ili wapate mwanya wa kufyeka misitu ya Congo kuiba mbao na madini, nilisha sema humu viongozi wa kuleta amani ya kudumu nchini Congo ni Rais Du-SANTOS na Mugabe basi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.