kopo la chumvi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 256
- 459
Nashukuru sana Mungu napumua, matumaini Wana jf mko vizuri
Mwaka 2015 niliingia kwenye dimbwi la mapenzi na binti mmoja aliye kuwa kidato cha tano na Mimi nikiwa nimehitimu veta tarime mwaka huo,binti huyo alikuwa anasoma NATA GIRLS Serengeti mara
Ni kweli alichokipanga Mungu hakiwezi kupinduliwa na mwanadamu,, binti huyu niliwahi kumtongoza akiwa kidato cha pili akachomoa kipindi icho tukiwa bukoba mkoani kagera (nyumbani)
Uyu binti alipohitimu kidato cha nne nilimshawishi aende ualimu au nurse akachomoa akadai ndoto zake ni kufka chuo kikuu basi Mimi wazee nilikata tamaa
Nikaona ligi hiyo siiwezi kutokana na elimu atakayo kuwa nayo huyo mwanadada
Siku moja natoka zangu msoma naenda zangu tarime gafla niko Zerozero one gari letu likapata pancha.Tukateremka kumbe na yeye alikuwa kwenye gari lingine akitokea mwanza kwenda shulen baada ya likizo bahati mbaya kwenye gari lao walikuwa na mgonjwa gafla akakata roho ivo ikawalazimu wasimame ili wafany utaratibu wa kumsafirisha,,,,,,Kuvunjika kwa pakacha ,,,, nafuu kwa ...mchukuzi
Nikasogea karbu yake na kuanza kumpa Salam
Mambo Ayesga
Akajibu safiii za wewe,,,
Salam tu,wapi siku hizi!!
Akajibu niko NATTa girls
Wahoooo na mm niko tarime karbu na sirari kama unaelekea kwa Kibaki
Sikuwa mzembe nikachukua namba ake ya simu,,akanambia mm nitakutafuta wala usinitafute wewe nikasema sawa
Ilikuwa jumamosi saa nne nikaona namba ngeni,,bahati mbaya nilikuwa na boss wangu tunapima na kukata madirisha ya giriri
Bwana Okendo akasema pokea cm ya shemeji hiyoooo...(utani wa vijiweni ukafuuta)
Ile nataka kupokea cm ikakata duuh
Nikaibeep ,,,ikapga kumbe alikuwa binti Ayesga tuliongea mambo mengi Sana,,akanitaka tuchati badae after prepol
( Sijui maana ya prepol) nikaitikia powaaaa wa kwetu yaani wa nyumban
#fuatilia hii story ya K.O utajifunza kitu
Inaendeleaaa....... Aaa
Mwaka 2015 niliingia kwenye dimbwi la mapenzi na binti mmoja aliye kuwa kidato cha tano na Mimi nikiwa nimehitimu veta tarime mwaka huo,binti huyo alikuwa anasoma NATA GIRLS Serengeti mara
Ni kweli alichokipanga Mungu hakiwezi kupinduliwa na mwanadamu,, binti huyu niliwahi kumtongoza akiwa kidato cha pili akachomoa kipindi icho tukiwa bukoba mkoani kagera (nyumbani)
Uyu binti alipohitimu kidato cha nne nilimshawishi aende ualimu au nurse akachomoa akadai ndoto zake ni kufka chuo kikuu basi Mimi wazee nilikata tamaa
Nikaona ligi hiyo siiwezi kutokana na elimu atakayo kuwa nayo huyo mwanadada
Siku moja natoka zangu msoma naenda zangu tarime gafla niko Zerozero one gari letu likapata pancha.Tukateremka kumbe na yeye alikuwa kwenye gari lingine akitokea mwanza kwenda shulen baada ya likizo bahati mbaya kwenye gari lao walikuwa na mgonjwa gafla akakata roho ivo ikawalazimu wasimame ili wafany utaratibu wa kumsafirisha,,,,,,Kuvunjika kwa pakacha ,,,, nafuu kwa ...mchukuzi
Nikasogea karbu yake na kuanza kumpa Salam
Mambo Ayesga
Akajibu safiii za wewe,,,
Salam tu,wapi siku hizi!!
Akajibu niko NATTa girls
Wahoooo na mm niko tarime karbu na sirari kama unaelekea kwa Kibaki
Sikuwa mzembe nikachukua namba ake ya simu,,akanambia mm nitakutafuta wala usinitafute wewe nikasema sawa
Ilikuwa jumamosi saa nne nikaona namba ngeni,,bahati mbaya nilikuwa na boss wangu tunapima na kukata madirisha ya giriri
Bwana Okendo akasema pokea cm ya shemeji hiyoooo...(utani wa vijiweni ukafuuta)
Ile nataka kupokea cm ikakata duuh
Nikaibeep ,,,ikapga kumbe alikuwa binti Ayesga tuliongea mambo mengi Sana,,akanitaka tuchati badae after prepol
( Sijui maana ya prepol) nikaitikia powaaaa wa kwetu yaani wa nyumban
#fuatilia hii story ya K.O utajifunza kitu
Inaendeleaaa....... Aaa