kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,185
- 4,881
Hii story itachelewesha mambo yangu sema nikupe shingapi umalize kaka
Aim
Nataka kuiba story
Aim
Nataka kuiba story
Iwe malizia yonaNilipofka MUHIMBILI niliumwa sanaa jicho na kufanya lizibe kabsaa na kuanza kutoa tongotongo kila muda
Bahati nzuri daktari alikuwepo nikaandikiwa dawa ya kuweka kwenye jicho na badae (kesho) ningeweza kufanyiwa operesheni ndogo ya jicho
Asubuhi siku ya jumatano saa mbili niliitwa na kuingizwa kwenye chumba kimoja kizuri sanaaa na kupigwa sindano ya ganzi dk ishirini badae niliambiwa na dokta amka kijana asantee sanaa dokta
Kauli yangu nzuri na shkrani
Nikamwambia asantee sana dokta angalau nahisi kama naweza kuona baada ya kufumbua jichoo na kuona nilifurahi Sana
Nikampigia simu MPENZI WANGU AYSEGA bahati nzuri alipokea na kunambia Yuko kwenye vimbwata anasoma basi mm hilo neno lilikuwa likinichanganya sanaaa
Akanambia Kama nakaa adi jumamosi basi angekuja kuniona,, nikamwambia nitakuepo kwa rafki yangu mmoja niliesoma nae bukoba vijijini uko bugabo
Shemeji yangu aliweza kuondoka kurudi tarime na gari mm nikabaki kidogo kula bata kwa macho oo,,,nilifurahi sanaa kufka uwanja wa mkapa (Taifa)
Na kushudia mechi moja baina ya Simba vs ndanda ya mtwara,,nilikuwa na mwenyeji wangu mujuni rafki angu sanaaa
Nilijiona tofauti na vijana wezangu wa mjini
NILIKUWA KAMA NIMEPOTEA NJIA MHHHH KULE NI KUZURI TOFAUTI NA KWETU TANZANIA GIZA
Jumamosi asubuhi naongea na mpenzi wangu
Gafla naskia sauti ya kiume ikisema mwambie anakaa sehem gani twende tuwahi kurudi
Mpenzi wangu:EM CHUKUA CM UMPE UYO RAFKI YAKO ATUELEKEZE WAPI MNAKAA
MUJUNI;HELLO SHEM
MPENZI WANGU; MNAKAA MBAGALA SEHEM GANI?
MUJUNI : UKIFKA RANGI TATU NIAMBIE SHEM
MPENZI WANGU : SAWA
INAENDELEAAAAAA,,,,,,,,
Thank you dear, ngoja niisome sasa!
Naona mambo ndio yanataka kuanza sasa T11Nilipofka MUHIMBILI niliumwa sanaa jicho na kufanya lizibe kabsaa na kuanza kutoa tongotongo kila muda
Bahati nzuri daktari alikuwepo nikaandikiwa dawa ya kuweka kwenye jicho na badae (kesho) ningeweza kufanyiwa operesheni ndogo ya jicho
Asubuhi siku ya jumatano saa mbili niliitwa na kuingizwa kwenye chumba kimoja kizuri sanaaa na kupigwa sindano ya ganzi dk ishirini badae niliambiwa na dokta amka kijana asantee sanaa dokta
Kauli yangu nzuri na shkrani
Nikamwambia asantee sana dokta angalau nahisi kama naweza kuona baada ya kufumbua jichoo na kuona nilifurahi Sana
Nikampigia simu MPENZI WANGU AYSEGA bahati nzuri alipokea na kunambia Yuko kwenye vimbwata anasoma basi mm hilo neno lilikuwa likinichanganya sanaaa
Akanambia Kama nakaa adi jumamosi basi angekuja kuniona,, nikamwambia nitakuepo kwa rafki yangu mmoja niliesoma nae bukoba vijijini uko bugabo
Shemeji yangu aliweza kuondoka kurudi tarime na gari mm nikabaki kidogo kula bata kwa macho oo,,,nilifurahi sanaa kufka uwanja wa mkapa (Taifa)
Na kushudia mechi moja baina ya Simba vs ndanda ya mtwara,,nilikuwa na mwenyeji wangu mujuni rafki angu sanaaa
Nilijiona tofauti na vijana wezangu wa mjini
NILIKUWA KAMA NIMEPOTEA NJIA MHHHH KULE NI KUZURI TOFAUTI NA KWETU TANZANIA GIZA
Jumamosi asubuhi naongea na mpenzi wangu
Gafla naskia sauti ya kiume ikisema mwambie anakaa sehem gani twende tuwahi kurudi
Mpenzi wangu:EM CHUKUA CM UMPE UYO RAFKI YAKO ATUELEKEZE WAPI MNAKAA
MUJUNI;HELLO SHEM
MPENZI WANGU; MNAKAA MBAGALA SEHEM GANI?
MUJUNI : UKIFKA RANGI TATU NIAMBIE SHEM
MPENZI WANGU : SAWA
INAENDELEAAAAAA,,,,,,,,