bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Wana Jf!
Naomba kuuliza hapa kati ya visimbusi vyote na kuwa na dish la free to air kipi bora zaidi?
+-Kuna wengine wanasema ukiwa na fta unaweza pata channel zote mfano za startimes kama B4u,NatGEo n.k
+-Kuna wengine pia wanasema kuwa visimbuzi ni cheap kuliko fta na mengine mengii...
Najua hapa tuna wataalam tofauti tofauti naomba mnisaidie ili sasa nijue kipi ni kipi.
N.B Kauli zisizofaa zitaziruhusu ntazireport kwa Uongozi.
Ahsanteni.
Naomba kuuliza hapa kati ya visimbusi vyote na kuwa na dish la free to air kipi bora zaidi?
+-Kuna wengine wanasema ukiwa na fta unaweza pata channel zote mfano za startimes kama B4u,NatGEo n.k
+-Kuna wengine pia wanasema kuwa visimbuzi ni cheap kuliko fta na mengine mengii...
Najua hapa tuna wataalam tofauti tofauti naomba mnisaidie ili sasa nijue kipi ni kipi.
N.B Kauli zisizofaa zitaziruhusu ntazireport kwa Uongozi.
Ahsanteni.