Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,647
- 188,961
- Thread starter
- #361
Hahahaha mkuu, ukirudi nyumbani utamwona mwanao akitetema ndo ujue ni style ya taifaSio kwamba sitaki ateteme
Ishu ni sababu gani ya msingi ya yeye kutetema?
Kama fact ni kuwa anashangilia goli la vicent ni sahihi kwa hilo
Bora tusipewe. Tuonyeshe kwamba sisi ni tofauti na makolo. Ushindi unapatikana humohumo.
Nikupe pole ww na wana uto wote kwa mazingaombwe mnayo fanyiwa na GSMHadi kwako bahasha itataembea.
Pole kwa kutoamini ukianacho.
Haswa Saidoo aisee.Yanga inaonekana kabisa kuwamiss key players kama Aucho na Saidoo hapa wameshinda kwa uzoefu tuu
Banda la chips au Banda la kukuChico inabidi ajifunze mengi sana kwa Peter Banda
Pole, Kolo. Ulipanga Yanga ateseke mzunguko wa pili, kila unachokiona unadhani mazingaombwe. Ulidhani utashinda wewe kila siku?Nikupe pole ww na wana uto wote kwa mazingaombwe mnayo fanyiwa na GSM
Mtajua hamjui ikifika wakati wa kimataifa