Yanga wanacheza mpira wa kizamani sana ukiachana na ushabikiKwann mkuu
Yanga wanacheza mpira wa kizamani sana ukiachana na ushabikiKwann mkuu
Jibu swali?Umeanza kuchanganyikiwa
Sahihi mkuuHii inachangiwa na kukaa muda mrefu bila kucheza, timu bado inakuwa haina fitness nzuri
🤣🤣🤣Kichwa Kichafu kwenye nyuzi kama hizi humuoni, subirieni kesho muone atakavyokuwa anatamba kwenye uzi wa mabingwa.
Yani hii team huwa haina mvuto kabisa[emoji2]
Kumbe upo huku?
Furahia sasa mayele katupia hukoSahihi mkuu
OGmayeleeeee goaaal
haaa! kumbe wamejifunga37' KMC wanajifunga....goaaaaallllll