ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 13,827
- 27,259
Maombi yako yapeleke CairoNawaombea droo tu. Mkipigwa basi mpigwe na Feisali ili akili ziwakae sawa
Maombi yako yapeleke CairoNawaombea droo tu. Mkipigwa basi mpigwe na Feisali ili akili ziwakae sawa
Tunza hekima yako utakuja kuumbuka mtu mzima wewe
Wanajiona kama wamefika mbinguni...Mtani hivi huko Super ligi mna kipi kipya. 😀
Au ndo ile kushiriki tu. 😎
😅😅Wanajiona kama wamefika mbinguni...
You must be Joking, Azam kwa Kikosi Kipi na Kwa marekebisho yapi wameyafanya toka Yanga icheze nae Tanga. Azam kwa Yanga ni kama mwembe wa uhani or kama kumsukuma mlevi wa K-Vat. Azam ni kiboko ya Simba kwa Yangu Hawafui dafu..Full time, yanga 1 - azam 3, nipo nmekaa palee, sijawah tabiri vibaya
Azam ameshashinda Kabla hata ya mechi yenyewe!
Wazee wa robo fainaliMtani hivi huko Super ligi mna kipi kipya.
Au ndo ile kushiriki tu.
Nyakanazi
Sioni timu mle ya kumfunga Azam leo.
Uto na papatu papatu zake akijitahidi Sana atasuluhu!
Hii game ya leo itakuwa ni moto sana, mashabiki wa Yanga Sc wasitarajie mteremeko kwa namna yoyote ile.
DRAW.