FT: Yanga 1 - 0 Coastal Union | NBC Premier League | Azam Complex | 27. 04. 2024

Walicheza nao kwa dk 48 mashujaa wakiwa pungufu
Ile card ilikuwa obvious sana jamaa alivuta kwa kunyonga kabisa
 
Simba haina tatizo la goalkeeper. Halafu si jambo jema kumuangalia mchezaji katika mechi chache na kutoa conclusion
Ata kama ni mechi moja ila huyo golikipa ni mzuri.Isingekua yeye coastal angelala nyingi sana.Una uhakika simba magolikeeper sio tatizo.au bado unamhesabu manula.?.Tunataka magolikeeper wenye ubora unaoshabihiana,sio namba moja akiwa majeruhi tunaanza degedege kama yanga walivyolalamika kukosekana kwa diara mechi za mwanzo club bingwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…